Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Najua Jamiiforums hakishindikani kitu.
Kuna wimbo mmoja alikuwa anaupenda sana kuusikiliza mpangaji wetu marehemu mmoja hivi mlevi mlevi.
Ni wimbo wa Kikongo jamaa analalamika sana nakusema neno TABU KWACHU TABU KWACHU
Ilikuwa kipindi nipo mdogo ila leo nimemkumbuka sana marehemu mpangaji wetu
Kuna wimbo mmoja alikuwa anaupenda sana kuusikiliza mpangaji wetu marehemu mmoja hivi mlevi mlevi.
Ni wimbo wa Kikongo jamaa analalamika sana nakusema neno TABU KWACHU TABU KWACHU
Ilikuwa kipindi nipo mdogo ila leo nimemkumbuka sana marehemu mpangaji wetu