Jamani naomba mtu yeyote mwenye ule wimbo wa FRANK-RAPHAEL au anaejua nnapoweza kuupata anipatie au anijulishe!!Asante...
tena nilikuwa nausikiliza sasahvi aise,kma vp nikurushie!Hahahha...natamani sana kuusikiliza tena brah!
Ni Fredy Zagamba wimbo unaitwa Raphael au?