Natafuta

Unatafuta mwanaume wa kazi gani manake huja specify kwenye maelezo yako tafadhali, nisije kuwa napishana n opportunity majibu tafadhali (i"m serious)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo hapa nawavizia ke ambao wanatafuta lakini hawataki kuanzisha uzi.
Huyu yeye si amefungua uzi.
Hahahah kuanzisha uzi wa kutafuta Ni kipaji eh
yataka ujasiri
 
Joined JF on 26th.

Post ya 27th ni ya kutafuta mchumba! Tuma ID ya zamani ambayo ulikua unapost mambo ya msingi tukutafute PM achana na hii uliyoamua kuja na kiki ili upate wadau wengi wa kua wanajumuika ktk post zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikupe cha mkwezi, na mauno ya taekwondo....
 
Dada mbona hauna masharti mengi?? Au kuna walakin
Ila adi sasa niseme tu, mimi nipo njian kuja pm nikifanikiwa ndoa katika uzi huu huu

Umoja wa wanaume Tanzania tuombeane(UWATA)[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa lako Maria ni kwamba umekuja na ID mpya ungebakia kule kule kwa zaman ili twende sawa
 
Hizo sifa ninazo ila nina mke kama utakubali kuwa mchepuko njo pm kuhusu bata na apartment usihofu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…