James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Sasa unachapa nini?Vigezo vyote ninavyo na pia mchapa kazi japo sina kazi naomba nipokeee
Au ni chapa ilale?
Hahahahaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unachapa nini?Vigezo vyote ninavyo na pia mchapa kazi japo sina kazi naomba nipokeee
Unatafuta mwanaume wa kazi gani manake huja specify kwenye maelezo yako tafadhali, nisije kuwa napishana n opportunity majibu tafadhali (i"m serious)Hello ......Mambo zenu umu
Mwanaume mtanashati,mrefu kama mm mcha Mungu wa bata kiasi sio sana .
Sio lazima awe na gari ila awe mwanaume modern kiasi..
Mchapakazi popote Tanzania sio lazima dar 2.
Makazi yangu mimi ni dar
Umri wangu ni miaka 23 ila nataka mwanaume wa 23-30 hivi
Asantee ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema awe ana hela tu sio [emoji23][emoji23][emoji23]Ukipata wengi nisendie mmoja na mm shoga angu..
Ila awe na hela tu ayo mengne mbwembwe ty
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah kuanzisha uzi wa kutafuta Ni kipaji ehMimi nipo hapa nawavizia ke ambao wanatafuta lakini hawataki kuanzisha uzi.
Huyu yeye si amefungua uzi.
Mimi sitawezaHahahah kuanzisha uzi wa kutafuta Ni kipaji eh
yataka ujasiri
Hapo xax ndio tatizoUkipata wengi nisendie mmoja na mm shoga angu..
Ila awe na hela tu ayo mengne mbwembwe ty
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Iyo sasa inaitwa tugawane umasikini... Buku2 ata ziwa sikupi ushike
Sent using Jamii Forums mobile app
muombe mtoa mada akupe mbinuMimi sitaweza
Dada mbona hauna masharti mengi?? Au kuna walakinHello ......Mambo zenu umu
Mwanaume mtanashati,mrefu kama mm mcha Mungu wa bata kiasi sio sana .
Sio lazima awe na gari ila awe mwanaume modern kiasi..
Mchapakazi popote Tanzania sio lazima dar 2.
Makazi yangu mimi ni dar
Umri wangu ni miaka 23 ila nataka mwanaume wa 23-30 hivi
Asantee ..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27]Hongera sana bibie, hiyo ni hazina kubwa sana na ukiitumia vizuri itakusaidia sana.
Hiyo ni resource kubwa sana ambayo mjini imekuwa adimu na hebu ifanyie kazi vizuri.
Hiyo kitu inaongeza confidence na inasaidia hata kupata kazi kirahisi
Hizo sifa ninazo ila nina mke kama utakubali kuwa mchepuko njo pm kuhusu bata na apartment usihofuHello ......Mambo zenu umu
Mwanaume mtanashati,mrefu kama mm mcha Mungu wa bata kiasi sio sana .
Sio lazima awe na gari ila awe mwanaume modern kiasi..
Mchapakazi popote Tanzania sio lazima dar 2.
Makazi yangu mimi ni dar
Umri wangu ni miaka 23 ila nataka mwanaume wa 23-30 hivi
Asantee ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Anachapa maandazi[emoji848][emoji848]Sasa unachapa nini?
Au ni chapa ilale?
Hahahahaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo