Natafuta

Natafuta

VENTURECACHER

Member
Joined
Oct 24, 2011
Posts
38
Reaction score
8
Rafiki wa kike rika lolote lile bila kubagua awe mpole, mstaarabu, anajiheshimu, awe mcheshi. Aliyekuwa tayari tuwasiliane 0657 93 83 95 mda wote inapatikana. HAKUNA KUBIP HAUTAUDUMIWAAAA....!!
 
Hawapatikani kiivo. Wangekuwa magari ningekwa mbia nenda show room.
 
Be specific on ur heading!! Unatafuta?? Kiwanja, nazi, mihogo, maharage au?
 
jamani mbona mi kila siku natangaza kutafuta mwenza(mke) humu lakini hakuna anayejitokeza laikini huenda bado hajaja iwapo yupo basi tuwasiliane ila awe mkristo,elimu ya f4 na kuendelea,awe hajazaa wala kuwahi kuolewa.nami nina sifa linganishi ila elimu yangu ni shahada.
tuwasiliane kwa email: famon1987@yahoo.com

Kwani ni lazima atoke humu jf only? Tafuta hata huko mtaani kwenu!
 
Back
Top Bottom