Natafute mke, awe mwenye heshima na busara

Natafute mke, awe mwenye heshima na busara

Per Week

Member
Joined
Jul 19, 2018
Posts
92
Reaction score
232
Nimewahi kuweka tangazo humu miaka minne iliyopitaa la kutafuta mke ila kabla ya kufanya maamuzi nilipata mtu ambae tulikuwa na mahusiano zamani kidogo.
Malengo yalikua ndoa Ila tabia zake zilinishinda, busara na heshima vilikua vidogo sana kwake.
Nikapata mwingine tukadate kama mwaka hivi ila nae hatukuweza kuoana.
Jf ni sehemu ya great thinkers hivyo nina amini nitapata mwenye busara na heshima humu.

Sifa zangu;

  • Nina elimu ya shahada ya kwanza
  • Ninaishi Daressalaam, japo nasafiri mara kwa mara Dodoma( hivyo ni Dar na Dom).
  • Nina Nyumba mbili Dom na Dar na magari mawili( Canter na Kluger).
  • Dini yangu ni Mkristo japo sibagui Muislamu( nipo tayari kuishi na dini yoyote). Heshima mbele, nasisitiza hili.
  • Ninafanya shughuli za kilimo sana, ni mkulima mkubwa Dom.
    * Single Mother's ni ruksa, Ila awe mkweli sababu ya kuwa single mother. Nikigundua aliongopa basi niwe mkweli tu hatutaendelea tena.
*Umri nayemhitaji Usiwe zaidi ya miaka 35
  • Awe tayari kusafiri Dar na Dom kwa mwezi angalau mara 2, hivyo kwa asiyependa safari au mvivu wa safari itakua ngumu kuwa nae.
  • Sibagui elimu Ila asiwe ameishia darasa la 7, minimum kabisa awe Form 4

Naweka wazi tena, awe tayari pia kushiriki shughuli zangu za kilimo na kuna muda inaweza kumpasa kukaa huko hata wiki 3 mfululizo kwa maana kuna kipindi nakua nimesafiri nje ya Dom na Dar. Ila Kama ni mfanyakazi basi hakuna shida, ila Kama hana kazi basi hiki kipengele kitamhusu.

Natanguliza shukrani.....
 
wenye dvs zero tutafaa

alafu huyo mke wa kukaa huko shambani kwaniaba yako atabebaje mimba?

hivi unaonekana unasaka msaidizi wa shughuli zako ili akutimizie malengo yako na ya kwake ayasahau.
 
Nimewahi kuweka tangazo humu miaka minne iliyopitaa la kutafuta mke ila kabla ya kufanya maamuzi nilipata mtu ambae tulikuwa na mahusiano zamani kidogo.
Malengo yalikua ndoa Ila tabia zake zilinishinda, busara na heshima vilikua vidogo sana kwake.
Nikapata mwingine tukadate kama mwaka hivi ila nae hatukuweza kuoana.
Jf ni sehemu ya great thinkers hivyo nina amini nitapata mwenye busara na heshima humu.

Sifa zangu;

  • Nina elimu ya shahada ya kwanza
  • Ninaishi Daressalaam, japo nasafiri mara kwa mara Dodoma( hivyo ni Dar na Dom).
  • Nina Nyumba mbili Dom na Dar na magari mawili( Canter na Kluger).
  • Dini yangu ni Mkristo japo sibagui Muislamu( nipo tayari kuishi na dini yoyote). Heshima mbele, nasisitiza hili.
  • Ninafanya shughuli za kilimo sana, ni mkulima mkubwa Dom.
    * Single Mother's ni ruksa, Ila awe mkweli sababu ya kuwa single mother. Nikigundua aliongopa basi niwe mkweli tu hatutaendelea tena.
*Umri nayemhitaji Usiwe zaidi ya miaka 35
  • Awe tayari kusafiri Dar na Dom kwa mwezi angalau mara 2, hivyo kwa asiyependa safari au mvivu wa safari itakua ngumu kuwa nae.
  • Sibagui elimu Ila asiwe ameishia darasa la 7, minimum kabisa awe Form 4

Naweka wazi tena, awe tayari pia kushiriki shughuli zangu za kilimo na kuna muda inaweza kumpasa kukaa huko hata wiki 3 mfululizo kwa maana kuna kipindi nakua nimesafiri nje ya Dom na Dar. Ila Kama ni mfanyakazi basi hakuna shida, ila Kama hana kazi basi hiki kipengele kitamhusu.

Natanguliza shukrani.....

mbona kama nakujua we sio yule mbizee[emoji2][emoji2]
 
Nimewahi kuweka tangazo humu miaka minne iliyopitaa la kutafuta mke ila kabla ya kufanya maamuzi nilipata mtu ambae tulikuwa na mahusiano zamani kidogo.
Malengo yalikua ndoa Ila tabia zake zilinishinda, busara na heshima vilikua vidogo sana kwake.
Nikapata mwingine tukadate kama mwaka hivi ila nae hatukuweza kuoana.
Jf ni sehemu ya great thinkers hivyo nina amini nitapata mwenye busara na heshima humu.

Sifa zangu;

  • Nina elimu ya shahada ya kwanza
  • Ninaishi Daressalaam, japo nasafiri mara kwa mara Dodoma( hivyo ni Dar na Dom).
  • Nina Nyumba mbili Dom na Dar na magari mawili( Canter na Kluger).
  • Dini yangu ni Mkristo japo sibagui Muislamu( nipo tayari kuishi na dini yoyote). Heshima mbele, nasisitiza hili.
  • Ninafanya shughuli za kilimo sana, ni mkulima mkubwa Dom.
    * Single Mother's ni ruksa, Ila awe mkweli sababu ya kuwa single mother. Nikigundua aliongopa basi niwe mkweli tu hatutaendelea tena.
*Umri nayemhitaji Usiwe zaidi ya miaka 35
  • Awe tayari kusafiri Dar na Dom kwa mwezi angalau mara 2, hivyo kwa asiyependa safari au mvivu wa safari itakua ngumu kuwa nae.
  • Sibagui elimu Ila asiwe ameishia darasa la 7, minimum kabisa awe Form 4

Naweka wazi tena, awe tayari pia kushiriki shughuli zangu za kilimo na kuna muda inaweza kumpasa kukaa huko hata wiki 3 mfululizo kwa maana kuna kipindi nakua nimesafiri nje ya Dom na Dar. Ila Kama ni mfanyakazi basi hakuna shida, ila Kama hana kazi basi hiki kipengele kitamhusu.

Natanguliza shukrani.....
Materialists wasione huu uzi..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Nimekuelewa sana mtoa maada na hayo maisha nayajua sana shida ya hawa wanawake ni wachache sana wanao weza kuendana na mfumo ulio nao kwani wakifika kwako automatically wataona umefanikiwa so hupaswi kujitesa
 
Fursa ishanipita mimi la saba B,kila la heri kwako kumpata mke mwema
 
Nyuzi za kutafuta wenza naona zinaanza kushamiri.Au mlijiapiza huu mwaka usiishe lazima mpate wenza?Hata hivyo,ni jambo la kheri.Nimekumbuka ubwabwa wa harusini.
 
Huu mwaka wa ndoa, mwaka jana kulikuwepo corona tukashindwa ndoa, tushindwe wenyewe.

Mleta mada, all the best
Safi.Kila kwenye changamoto,korido ya mafanikio huchomoza.Ngoja na mimi nipake hizi nywele "piko" ili nianze mchakato wa kutafuta bi mdogo.😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom