Burn,
I support and respect your decision. Tunahitaji watu ambao wanakiu kabisa ya maendeleo ya nchi hii kama wewe ambao wako tayari kuthubutu kugeuza mawazo yao kuwa vitendo.
CCM ni chama kikubwa na chenye mtandao mpana wenye wanachama wengi. Kinachotakiwa ni kuhakikisha unakuwa innovative, unajituma vya kutosha, unajenga uhimili wa kutoa ushauri katika ngazi mbali mbali za chama hasa baada ya kufanya researches za kutosha. Kwa vile utakuwa unaingia katika kundi jipya kwako, apply the scientific proven abc steps in forming a workable group ambazo ni Forming, Storming, Norming and Performing. Yeyote anayekwenda CCM kwa malengo ya kuwatumikia wananchi ana nafasi kubwa ya kuwafikia na mchango wake kuwanufaisha walengwa.
Hujachelewa!!!!!