slow_learner
Senior Member
- Nov 24, 2016
- 139
- 110
Kwa kauli hii nakushauri umalize kwanza chuo.Habari ndugu wana JF
Mimi kutokana na maisha kuwa magumu nafikiria kuacha chuo ili nijihusishe na uzalishaji Mali.
Nazungumza haya kutokana na kauli ama ushauri wa POLEPOLE kwa wanachuo waliokosa mkopo.
Nimefikia uamuzi huu ila sijajua nianze kufanya shughuli gani.
Duh! Itanibidi niitekeleze kauli mbiu ya mheshimiwa sana.
[emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji86]
Siyo kwamba napenda ila hali ya kimaisha inanilazimu.usithubutu kuacha chuo!
soma then uje ufanye ujasiliamali wa kisomi
Hana mkopo atamalizaje chuo sasa..?Kwa kauli hii nakushauri umalize kwanza chuo.
Hizo hela anazofikiria aanzishe biashara awekeze kwenye elimu. Au biashara anaanza bila mtaji?Hana mkopo atamalizaje chuo sasa..?
Mie nahisi anawasilisha ujumbe kutoka juu.mkuu hao watu uliowataja ukitekeleza(ukifuatilia) wanayoyasema hautakaa uonje ladha ya mafanikio maana wao wenyewe hawajielewi wanataka/fanya nini hasa huyo slow slow
Akishapiga msuli patakuwa salama? Au atakaa shule miaka yote mkuuAchana na kauli za vijiweni na kauli za wanasiasa zitakupoteza, kaza msuli piga shule, mtaani si sehemu salama kabisa
Nadhani hapo anataka akachakarike mtaani hata vibarua vidogo apate kianzio kama kamtaji, sasa huo muda anaochakarika mtaani apate hiko kidogo na masomo yanampita.Hizo hela anazofikiria aanzishe biashara awekeze kwenye elimu. Au biashara anaanza bila mtaji?
Mimi mwenywe nimejikaza kusoma Maana hata umri ndo unaenda.Akishapiga msuli patakuwa salama? Au atakaa shule miaka yote mkuu
Kwa sasa sina hiyo pesa cash ya kuendelea na chuo ndo Maana nikasema niachane na chuo sababu upepo wa mbele hausomeki na maisha ya Dar es salaam ni magumu sanaNadhani hapo anataka akachakarike mtaani hata vibarua vidogo apate kianzio kama kamtaji, sasa huo muda anaochakarika mtaani apate hiko kidogo na masomo yanampita.
sasa sina uhakika kama anayo hela cash ya kuendelea na chuo.
Hawawezi kuwa sawa aliesoma na mbumbumbu, alie na shule ni rahisi kujikwamuaAkishapiga msuli patakuwa salama? Au atakaa shule miaka yote mkuu