py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,476
- 4,448
Zuckerberg ,Steve jobs,mmiliki wa twitter hawana elimu ya chuoHawawezi kuwa sawa aliesoma na mbumbumbu, alie na shule ni rahisi kujikwamua
Lakini hawa mbumbumbu wamejikwamua na bila wao hamuwezi kusurvive