jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Usiache shule mwaya au ushaona utafeli, GPA si mchezo? [emoji23][emoji23][emoji23]
......nataman niache tu au nipospond mwaka ili nijaribu bahati katika ujasiria mali.
Mkuu kausha basi hilo neno mwenyewe nililiona[emoji23]Badala ya ‘kupospond’ ni bora uache kabisa, subiri boom la mwisho uongeze mtaji... si mnasemaga kusoma ni kupoteza muda.
Karibu una maliza kaza umalize wakati unaendelea kujichanga then ukishamaliza ndo ufungulie mbwa , kwa sasa hata ujasiriamli hutofanya kwa akili moja ukiju umepostpone chuo. Maliza tu mkuu muda wa vurugu mtaani uwe mzuri.Habari wana JF!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, nipo mwaka 3 moja kati ya vyuo hapa nchini. Lakini moja kati ya vitu vinavyoniumiza hapa duniani ni pale ninapoishiwa hela ya matumizi na kunilazimu niombe nyumbani ili niendelee na maisha ya chuo japokuwa umri wangu unatosho kutafuta mwenyewe.
Kwa sasa nimejichanga mpaka nimefikisha 600k. Nikiangalia ugumu wa maisha baada ya kumaliza chuo nataman niache tu au nipospond mwaka ili nijaribu bahati katika ujasiria mali. Nipeni ushari wenu
Ingekuwa uko mwaka wa kwanza au wa pili ningekushauri uache ila karibu unamaliza maliza kabisa, hasira ikupande zaidi ili ukimaliza tu ni nduki mtaani kama boomHabari wana JF!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, nipo mwaka 3 moja kati ya vyuo hapa nchini. Lakini moja kati ya vitu vinavyoniumiza hapa duniani ni pale ninapoishiwa hela ya matumizi na kunilazimu niombe nyumbani ili niendelee na maisha ya chuo japokuwa umri wangu unatosho kutafuta mwenyewe.
Kwa sasa nimejichanga mpaka nimefikisha 600k. Nikiangalia ugumu wa maisha baada ya kumaliza chuo nataman niache tu au nipospond mwaka ili nijaribu bahati katika ujasiria mali. Nipeni ushari wenu
ok ila mzee baba naona bora nikachakalike nikikwama c narudi kumalizia baba, nilipiga mishe mishe nikiwa 2nd nikapata saving kama 2.3m nikawekezia kwenye kilimo cha nyanya lkn huwez amini zmepgwa na mvua saiv hakuna kitu kwahyo nataka nikapambane kwanzaBrother sikia nikwambie. Mimi nilipiga hela na kuzitumbua, kiasi nilichoweza kurekodi ni 1.2M kabla sijaja chuo na naona sijakosea. Mpaka sasa nimebakiza 150,000 tu kama savings na nadai 230,000 sehemu ambayo nikitaka watanipa. Mbona sikuona bora nisije chuo, tena nafurahi maana napiga kitu nnachokipenda tofauti na nilivokuwa A level kila siku nilitamani niache shule. Sasa wewe una 600k unaona maisha utayapatia ebhana eeh utapoteana kidogo mfano upige loss upoteze mtaji uanze kuishi kama shetani. Komaa umalize mbona miezi michache tu. Tena una hizo laki 6
Sent from my PBCM30 using Tapatalk
ok ila mzee baba naona bora nikachakalike nikikwama c narudi kumalizia baba, nilipiga mishe mishe nikiwa 2nd nikapata saving kama 2.3m nikawekezia kwenye kilimo cha nyanya lkn huwez amini zmepgwa na mvua saiv hakuna kitu kwahyo nataka nikapambane kwanzaBrother sikia nikwambie. Mimi nilipiga hela na kuzitumbua, kiasi nilichoweza kurekodi ni 1.2M kabla sijaja chuo na naona sijakosea. Mpaka sasa nimebakiza 150,000 tu kama savings na nadai 230,000 sehemu ambayo nikitaka watanipa. Mbona sikuona bora nisije chuo, tena nafurahi maana napiga kitu nnachokipenda tofauti na nilivokuwa A level kila siku nilitamani niache shule. Sasa wewe una 600k unaona maisha utayapatia ebhana eeh utapoteana kidogo mfano upige loss upoteze mtaji uanze kuishi kama shetani. Komaa umalize mbona miezi michache tu. Tena una hizo laki 6
Sent from my PBCM30 using Tapatalk
Unajirudisha nyuma mno. Eti uendelee ukikwama utakuja kumalizia elimu. Nauliza hivi, kwani ukiweza kumaliza chuo ukafanya ujasiriamali then ukafeli utafanyaje? Si utaendelea na ujasiriamali ukibadili mbinu. Sasa imagine uache chuo, ufanye mishe zikwame then urudi kusoma. Baadae urudi ujasiriamali, sasa si unafanya roundabout mzee? Unachokitupa sasa kumbe una mpango liwe kimbilio ama reserve, kwanini usiende nacho sasa iwe win win situationok ila mzee baba naona bora nikachakalike nikikwama c narudi kumalizia baba, nilipiga mishe mishe nikiwa 2nd nikapata saving kama 2.3m nikawekezia kwenye kilimo cha nyanya lkn huwez amini zmepgwa na mvua saiv hakuna kitu kwahyo nataka nikapambane kwanza
Habari wana JF!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, nipo mwaka 3 moja kati ya vyuo hapa nchini. Lakini moja kati ya vitu vinavyoniumiza hapa duniani ni pale ninapoishiwa hela ya matumizi na kunilazimu niombe nyumbani ili niendelee na maisha ya chuo japokuwa umri wangu unatosho kutafuta mwenyewe.
Kwa sasa nimejichanga mpaka nimefikisha 600k. Nikiangalia ugumu wa maisha baada ya kumaliza chuo nataman niache tu au nipospond mwaka ili nijaribu bahati katika ujasiria mali. Nipeni ushari wenu
Unajirudisha nyuma mno. Eti uendelee ukikwama utakuja kumalizia elimu. Nauliza hivi, kwani ukiweza kumaliza chuo ukafanya ujasiriamali then ukafeli utafanyaje? Si utaendelea na ujasiriamali ukibadili mbinu. Sasa imagine uache chuo, ufanye mishe zikwame then urudi kusoma. Baadae urudi ujasiriamali, sasa si unafanya roundabout mzee? Unachokitupa sasa kumbe una mpango liwe kimbilio ama reserve, kwanini usiende nacho sasa iwe win win situation
Sent from my PBCM30 using Tapatalk
hahah we boya kama umekutana na wale wa NETWORKING B'NESS umeumia kalisha kalio hilopiga buku wacha ujingaHabari wana JF!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24, nipo mwaka 3 moja kati ya vyuo hapa nchini. Lakini moja kati ya vitu vinavyoniumiza hapa duniani ni pale ninapoishiwa hela ya matumizi na kunilazimu niombe nyumbani ili niendelee na maisha ya chuo japokuwa umri wangu unatosho kutafuta mwenyewe.
Kwa sasa nimejichanga mpaka nimefikisha 600k. Nikiangalia ugumu wa maisha baada ya kumaliza chuo nataman niache tu au nipospond mwaka ili nijaribu bahati katika ujasiria mali. Nipeni ushari wenu
ok ila mzee baba naona bora nikachakalike nikikwama c narudi kumalizia baba, nilipiga mishe mishe nikiwa 2nd nikapata saving kama 2.3m nikawekezia kwenye kilimo cha nyanya lkn huwez amini zmepgwa na mvua saiv hakuna kitu kwahyo nataka nikapambane kwanza
Wewe kama ulipata dungu a.k.a sufuria unadhani kila mtu anatakiwa awe kama wewe. Kwamba chuoni tunajaza ujinga, dadeq JF wangekuwa na option ya call ningepiga hapa haraka unambie unajua nini ambacho sijui, na umefanikiwa niniHuko chuoni kuna nini cha maana sana zaidi ya kuingiza Uogo ubongoni
Sent using Jamii Forums mobile app