Nataka kuacha kazi niwe mjasiriamali, naombeni ushauri

Mkuu jilipue usisikilize ushauri wa viumbe waitwao wanadamu. Watakukatisha tamaa bure. Ukikubali kuajiriwa ukubali pia kuwa mtu wa kipato cha kujikimu. Yaani ule,uishi na uvae pamoja na kusindikiza umri.
 
Watanzania tulio wengi tunahofu ya kuacha kazi tunapokuwa nayo kwa sababu ya hofu ya maisha ya baadaye...Hujawahi kujiuliza kwanini biashara nyingi na viwanda ni vya wageni hasa Wahindi na wachina...Naungana na Kagame..matatizo yetu weusi mengi tumesababisha wenyewe..Nothing is easy
 
Haloo acha kazi ukiendelea mwisho utakua maskini,Mimi niliacha kazi tangu mwaka Jana kwa utoro kazini,lakini nilijipanga na kufanikiwa kulima heka kumi na kuvuna viroba 117 nilikuja kuuza mpunga huo 100000/kwa kila kiroba. niliuza roba 100 ni sawa na tsh 10000000/ nikaanza biashara hadi sasa ninakaribia kua na mtaji wa million 70 aisee niligundua kua ningebaki utumishi ningeambukia ka sarrary tu.na sitarajii kuajiriwa tena. Na nimeajiri vijana wa 5 na nawalipa350000 kwa mwezi,hapo mkuu jiongeze kama ni muoga wa maisha baki uko.
 
Haloo acha kazi ukiendelea mwisho utakua maskini,Mimi niliacha kazi tangu mwaka Jana kwa utoro kazini,lakini nilijipanga na kufanikiwa kulima heka kumi na kuvuna viroba 117 nilikuja kuuza mpunga huo 100000/kwa kila kiroba. niliuza roba 100 ni sawa na tsh 10000000/ nikaanza biashara hadi sasa ninakaribia kua na mtaji wa million 70 aisee niligundua kua ningebaki utumishi ningeambukia ka sarrary tu.na sitarajii kuajiriwa tena. Na nimeajiri vijana wa 5 na nawalipa350000 kwa mwezi,hapo mkuu jiongeze kama ni muoga wa maisha baki uko.
 
Endelea kuongeza vitega uchumi,pale utakoona umeimarika zaidi kiuchumi ndipo uangalie pakwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…