๐ค๐ค๐คNjoo njoo njoo dasalamu huku mambo poa mtelezo pia kuna kazi nyingi tuu kwa siku 10k mpaka 15k yanini uteseke mkuu
Au naongopa mkuu ndio ipo hivi kazi zipo nyingi tuu...๐ค๐ค๐ค
Sio wizi mkuuHuo ujanja ujanja ni upi Wizi ama
Msimtishe dar kubwa sio kitambaa cheupe tuUsijaribu kwenda daslam
Dm tayarMkuu kabla hujaacha naomba uje dm ili niweze pata hicho unachokiacha tafadhali๐๐
Nipe connection nije mkuuKaribu daslam mkuu. huku kulala bila 15k mfukoni ni uzembe wa mtu tu. madili nje! nje!. kazi kidogo tu pesa unapata nyingi
Kama ni kwenda Daslam, nashauri usiende na hela mkuu. Daslam nenda na akili tu, hela utazikuta hukohuko.Wakuu kwema?
Naombeni ushauri mimi nafanya kazi sehemu x ila nataka kuacha kazi sababu nalipwa 3000 kwa siku hiyo hiyo nifanyie Kila kitu kula, kodi, kuvaa yani Kila kitu nimefanikiwa kufanya ujanja ujanja mwingi kazin hadi nimesevu milion moja kwa miaka miwili ila Sasa ujanja unakuwaga na mwisho๐๐๐.
Nataka kwenda Dar es Salaam kutafuta zaid nianze upya. Ushauri wenu wakuu๐๐๐nikifika Dar nianzaje maana sijawah kufika kabisa.