Samahani ndugu zangu kuna dawa naihitaji lakini kwa hapa Tanzania haipatikani.
Nataka kuagiza nje ya nchi kama vile India.
Maomba mwenÿe connection na phamacy za India na huwa anaweza kuagiza au kama kuna mtu hapa Tanzania huwa anaagiza dawa nje ya nchi anisaidie kwa kuja inbox.
Nataka kuagiza nje ya nchi kama vile India.
Maomba mwenÿe connection na phamacy za India na huwa anaweza kuagiza au kama kuna mtu hapa Tanzania huwa anaagiza dawa nje ya nchi anisaidie kwa kuja inbox.