Nataka kuagiza gari ila imetembea zaidi ya kilometer 200,000

Nataka kuagiza gari ila imetembea zaidi ya kilometer 200,000

....kikubwa ni jinsi ya ku-validate kuwa uchache au wingi wa km katika gari husika ni halali au zimechezewa?kwa hilo sasa liko nje ya uwezo wangu,so kwa swali lako sina jibu. Labda kama kuna wataalamu watufichulie mbinu za kujua ukweli ktk hilo
Vivyo hivyo hata kwenye km nyingi kunaweza kuwa na ubora na uhai ,kwani huwezi jua endapo engine ilifanyiwa overhaul au ilibadilishwa
 
Mimi mwaka 2014 nilichukua Alteza ina kilomita 231000 SBT JAPAN ilikua na injini ya 1G beams 2000 nikaja kuuza baada ya miezi sita mana vitisho vilizid kila mtu alikua anasema liatkufia basi nikalisukuma likiwa na kilomita 234000 mwaka jana around june niliiona ile gari sa sijui injini ile ile au lah...

Ila kuna gari zinaenda kilomita nyingi ndani ya mda mfupii coz zinatembea highway pakeyake hizi injini zake zinakuwa fiti kuliko za kilomita chache coz highway hakuna mambo ya simama tembea so injini haitumii nguvu nying kama town trip.

Gari ya 2013 yenye kilomita 150000 ni bora kuliko ya 2008 yenye kilomita 60000
 
Vivyo hivyo hata kwenye km nyingi kunaweza kuwa na ubora na uhai ,kwani huwezi jua endapo engine ilifanyiwa overhaul au ilibadilishwa
Yaani hyo wameichezea ,wamerudisha km Hadi 60000km + ,swala Hilo nalifaham
 
Kuna Yard iko Moroco wana punguza magari yote
Yaani kuhusu hizo Mambo nmeshuhudia kabisa ,wanachezea haya mavitu Hadi keep,eti gari ya 2004 imetembea 50000 km ,hawanaga haya
 
Yaani kuhusu hizo Mambo nmeshuhudia kabisa ,wanachezea haya mavitu Hadi keep,eti gari ya 2004 imetembea 50000 km ,hawanaga haya

Kuna page insta (.....) ukiona Gari wamepost wanasema ina km 70,000 nikahisi kama nimeshaiona mtandao fulani wa Japan. Kufungua nikaconfirm picha na mwaka wa gari, ila wajapana wakasema kuna km 130k. Nikaja kuendelea kufiatilia nikaona ni katabia
 
Dah njoo kwenye ulimwengu wa subaru braza
 
Yaani kuhusu hizo Mambo nmeshuhudia kabisa ,wanachezea haya mavitu Hadi keep,eti gari ya 2004 imetembea 50000 km ,hawanaga haya
Bongo bwana....bibi mstaafu anawekewa bikra bandia ili apate mume....[emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787]
 
Engine zina life span yake,gari inavyozidi kuwa ndogo haishauriwi kununa ikiwa na km nyingi,walau ununue ikiwa na chini ya km 100,000 ili ikusogeze mpk hizo km 200,000ili uone thamani ya fedha yako kaama itakuwa iliytunzwa vzr. Kwa gari zenye ingine kubwa,mfano kuanzia cc 3,500 na kuendelea unaweza kununua kwani "life span' ya ingine ni zaidi ya km 500,000. Ndio maana hata malory yananunuliwa hata na zaidi ya km 700,000 na yanafanya vzr. So achana na hiyo gari,najua bei imekuvutia lkn utakuja kujutia. Ongeza pesa,nunua one with low mileage
Hoja hii nimeielewa
 
Cc 2000 siyo engine ndogo kwa size ya gari ile, labda uongee matatizo mengine

Ukicheki Power to weight ratio ya Nissan xtrail(140hp/4607lb)=0.03hp/lb

Bado ni ndogo kulinganisha na gari za class yake zenye engine kubwa.
 
Back
Top Bottom