Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 51
kwa kweli sasa hv hali ya biashara kwa ku2mia mitandao imekuwa na wizi mkubwa. mfano katika hy tradecarview kuna blacklist ya makampuni ambayo yamefungiwa kwa kuchukua pesa kisha hawatumi magari. na wengi wa walioibiwa na watanzania. ila cha kushangaza makampuni hayo hayo yamebadili majina kisha yakasajiliwa tena. mfn kampuni ya prosper huyu jamaa mkenya ila yupo japan wanaongoza sana kwa kulalamikiwa kwa vitendo vya kuwauzia wa2 magari tofauti na wanayowaonyesha kweny picha. we have 2 be carefu guys
nimetumia japanesevehicles.com wako powa sana.
Nataka kuagiza gari kwa njia ya mtandao je mtandao gani ni salama?
Je kuna mtu ameshawahii kuagiza kupitia mitandao hii,naomba msaada wenu
Je www.tradecarview.com na www.japantradecar.com hii vipi?
Nshukuru kwa msaada wenu
YAANI HAMSIKI NDUGU ZANGU HAYA MAKAMPUNI NI BEST KINOMA
http://www.cartechjapan.com/search.asp
www.beforward.com
www.rao-international.COM
www.tradecarview.com hawa watangazaji
TRA
CIF*5%= A
A*20%=B
B*20%=C
A= JIBU LA KWANZA
A= JIBU LA KWANZA UNAZIDISHA NA 20 ASILIMIA
C=JIBU LA PILI UNAZIDISHA NA ASILIMIA 20
SAWA NI BEI UTAKAYOPIGWA TRA HAYO MAGARI CHINI YA CC 2000
UKIWA NA EXAMPTION UNALIPIA ASILIMIA 20 TU