Nataka kuagiza gari naomba mawazo yenu kuhusu jambo moja

Nataka kuagiza gari naomba mawazo yenu kuhusu jambo moja

MtamuMix

Senior Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
119
Reaction score
138
Imezoeleka wakati mwingine kwenda benki ukiwa umeshachenji hela zako kuw amadafu (USD).
Sasa kama nina hela kwenye akaunt ya benki CRDB, nikihitaji niende kwao wanibadilishie (waniuzie dola) kwa kuhamisha kutoka kwenye akaunt yangu kwenda Be forward, nje ya zile dola 56 za kulipia TT transfer kuna gharama nyingine ambazo zitafyekwa kwenye akaunt yangu?

Je ipi rahisi kiuchumi nidraw hela zangu nikachenji kwenye bureau kwanza au wao wenyewe wanibadilishie? Mwenye uzoefu na hili anipe mawazo nisije nikakwanguliwa hela zenyewe za mawazo hivi.
 
Imezoeleka wakati mwingine kwenda benki ukiwa umeshachenji hela zako kuw amadafu (USD).
Sasa kama nina hela kwenye akaunt ya benki CRDB, nikihitaji niende kwao wanibadilishie (waniuzie dola) kwa kuhamisha kutoka kwenye akaunt yangu kwenda Be forward, nje ya zile dola 56 za kulipia TT transfer kuna gharama nyingine ambazo zitafyekwa kwenye akaunt yangu?

Je ipi rahisi kiuchumi nidraw hela zangu nikachenji kwenye bureau kwanza au wao wenyewe wanibadilishie? Mwenye uzoefu na hili anipe mawazo nisije nikakwanguliwa hela zenyewe za mawazo hivi.
Tofauti ya benki na bureau de change ni exchange rates. Mara nyingi rates za benki huwa juu ukilinganisha na za bureau de change. Ukienda na USD benki, wao watakata hiyo transfer fee yao pekee toka kwenye account yako.
 
Imezoeleka wakati mwingine kwenda benki ukiwa umeshachenji hela zako kuw amadafu (USD).
Sasa kama nina hela kwenye akaunt ya benki CRDB, nikihitaji niende kwao wanibadilishie (waniuzie dola) kwa kuhamisha kutoka kwenye akaunt yangu kwenda Be forward, nje ya zile dola 56 za kulipia TT transfer kuna gharama nyingine ambazo zitafyekwa kwenye akaunt yangu?

Je ipi rahisi kiuchumi nidraw hela zangu nikachenji kwenye bureau kwanza au wao wenyewe wanibadilishie? Mwenye uzoefu na hili anipe mawazo nisije nikakwanguliwa hela zenyewe za mawazo hivi.

Wewe nenda bank jaza TISS form kutoka kwenye hiyo akaunti yako ya madafu kwenda akaunti ya Beforward..... kwenye TISS form amount itakuwa in USD ingawa akaunti yako ni ya TSH. Benki wakati wanaiprocess itaji-exchange automatic kutoka Tsh kwenda exactly amount hiyo ya USD kutokana na exchange rate za siku hiyo upande wa buying price..... maana itakuwa ni kama wamekuuzia dollar..... so wakati unajaza TISS form unaweza wauliza exchange rate ya siku hiyo upande wa buying price ni sh.ngapi kwa hizo dollar utakazokuwa una-transfer


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Wewe nenda bank jaza TISS form kutoka kwenye hiyo akaunti yako ya madafu kwenda akaunti ya Beforward..... kwenye TISS form amount itakuwa in USD ingawa akaunti yako ni ya TSH. Benki wakati wanaiprocess itaji-exchange automatic kutoka Tsh kwenda exactly amount hiyo ya USD kutokana na exchange rate za siku hiyo upande wa buying price..... maana itakuwa ni kama wamekuuzia dollar..... so wakati unajaza TISS form unaweza wauliza exchange rate ya siku hiyo upande wa buying price ni sh.ngapi kwa hizo dollar utakazokuwa una-transfer


Sent from my iPhone using JamiiForums

asante sana kwa ushauri wenu
 
Imezoeleka wakati mwingine kwenda benki ukiwa umeshachenji hela zako kuw amadafu (USD).
Sasa kama nina hela kwenye akaunt ya b nikakwanguliwa hela zenyewe za mawazo hivi.

Unachoatakiwa kufanya ukiwa benki ya crdb unaulizia bei kiwango cha kubadilisha shilingi kwenda kwenye dola.

Ukishapatiwa utapiga mahebu ya gharama ya hiyo gari kwenda kwenye shilingi na utaongeza dola 30 za kutransfa hizo hela kwa wao bf kutoka akaunti yao ya CRDB kwenda akaunti yao ya uko Japan.

Utajaza fomu ya kutoa hizo shilingi kwenye akaunti yako na pia utajaza fomu ya kuweka hizo dola kwenye akaunti ya crdb ya bf.

Ukienda maulizo watakuelekeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachoatakiwa kufanya ukiwa benki ya crdb unaulizia bei kiwango cha kubadilisha shilingi kwenda kwenye dola.

Ukishapatiwa utapiga mahebu ya gharama ya hiyo gari kwenda kwenye shilingi na utaongeza dola 30 za kutransfa hizo hela kwa wao bf kutoka akaunti yao ya CRDB kwenda akaunti yao ya uko Japan.

Utajaza fomu ya kutoa hizo shilingi kwenye akaunti yako na pia utajaza fomu ya kuweka hizo dola kwenye akaunti ya crdb ya bf.

Ukienda maulizo watakuelekeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaio huwezi kulipa kwenye USD Account ya Beforward Direct sio?
 
Kwaio huwezi kulipa kwenye USD Account ya Beforward Direct sio?
Unaweza kulipa direct kwenye acc yao ya dollar iliyoko hapo crdb lkn bado utaongeza hiyo $50 ya ku process tt hela ikatumwe japan ila kuona kwangu ni bora ukaenda crdb ukaomba special rate inakuwaga nafuu uka process tt direct to japan wanakata madafu pamoja na commission yao mche unaisha payment yako itakuwa confirmed faster

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imezoeleka wakati mwingine kwenda benki ukiwa umeshachenji hela zako kuw amadafu (USD).
Sasa kama nina hela kwenye akaunt ya benki CRDB, nikihitaji niende kwao wanibadilishie (waniuzie dola) kwa kuhamisha kutoka kwenye akaunt yangu kwenda Be forward, nje ya zile dola 56 za kulipia TT transfer kuna gharama nyingine ambazo zitafyekwa kwenye akaunt yangu?

Je ipi rahisi kiuchumi nidraw hela zangu nikachenji kwenye bureau kwanza au wao wenyewe wanibadilishie? Mwenye uzoefu na hili anipe mawazo nisije nikakwanguliwa hela zenyewe za mawazo hivi.
Toa cash tzs au $ kalipe BeFoward ofisini,unaepuka hizo charges.
 
Imezoeleka wakati mwingine kwenda benki ukiwa umeshachenji hela zako kuw amadafu (USD).
Sasa kama nina hela kwenye akaunt ya benki CRDB, nikihitaji niende kwao wanibadilishie (waniuzie dola) kwa kuhamisha kutoka kwenye akaunt yangu kwenda Be forward, nje ya zile dola 56 za kulipia TT transfer kuna gharama nyingine ambazo zitafyekwa kwenye akaunt yangu?

Je ipi rahisi kiuchumi nidraw hela zangu nikachenji kwenye bureau kwanza au wao wenyewe wanibadilishie? Mwenye uzoefu na hili anipe mawazo nisije nikakwanguliwa hela zenyewe za mawazo hivi.
Njia rahisi zaidi ni kwenda kulipia ofisini kwao pale mjini ...

Una withdrawl unakwenda ku change kwenye duka la fedha, kisha unawapelekea pale ofisini kwao.

Hii inakua fastest way..

Aidha,


expand...

Karibu ofisini kwetu

Sisi ni waagizaji, ila tunakuagizia kwa malipo ya awamu-awamu, kutoka kampuni yeyote ile uipendayo ...

Kwa mfano, (Labda kwenye website ya Be forward, Enhance, Autocom n.k) ukaiona gari wanauza (Tuseme)

Toyota Ist

Unachopaswa kufanya ni kuja ofisini kwetu na stock Id ya gari husika.

Mfano,

Labda gari husika ni 12m
Badala ya kulipia 12m wewe unalipia 9,000,000

Gari inaletwa, unakabidhiwa 3,000,000 unaimalizia kwa instalment kila mwezi 429,000 for 7 months period.

riba ni 0.00%

MASHARTI NA VIGEZO KUZINGATIWA.


Semsella Enterprises
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia rahisi zaidi ni kwenda kulipia ofisini kwao pale mjini ...

Una withdrawl unakwenda ku change kwenye duka la fedha, kisha unawapelekea pale ofisini kwao.

Hii inakua fastest way..

Aidha,


expand...

Karibu ofisini kwetu

Sisi ni waagizaji, ila tunakuagizia kwa malipo ya awamu-awamu, kutoka kampuni yeyote ile uipendayo ...

Kwa mfano, (Labda kwenye website ya Be forward, Enhance, Autocom n.k) ukaiona gari wanauza (Tuseme)

Toyota Ist

Unachopaswa kufanya ni kuja ofisini kwetu na stock Id ya gari husika.

Mfano,

Labda gari husika ni 12m
Badala ya kulipia 12m wewe unalipia 9,000,000

Gari inaletwa, unakabidhiwa 3,000,000 unaimalizia kwa instalment kila mwezi 429,000 for 7 months period.

riba ni 0.00%

MASHARTI NA VIGEZO KUZINGATIWA.


Semsella Enterprises
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947



Sent using Jamii Forums mobile app

Asante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now
 
Asante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now
Waooh! hongera best
vipi uliagiza umenunua gari gani?
 
Back
Top Bottom