Njia rahisi zaidi ni kwenda kulipia ofisini kwao pale mjini ...
Una withdrawl unakwenda ku change kwenye duka la fedha, kisha unawapelekea pale ofisini kwao.
Hii inakua fastest way..
Aidha,
expand...
Karibu ofisini kwetu
Sisi ni waagizaji, ila tunakuagizia kwa malipo ya awamu-awamu, kutoka kampuni yeyote ile uipendayo ...
Kwa mfano, (Labda kwenye website ya Be forward, Enhance, Autocom n.k) ukaiona gari wanauza (Tuseme)
Toyota Ist
Unachopaswa kufanya ni kuja ofisini kwetu na stock Id ya gari husika.
Mfano,
Labda gari husika ni 12m
Badala ya kulipia 12m wewe unalipia 9,000,000
Gari inaletwa, unakabidhiwa 3,000,000 unaimalizia kwa instalment kila mwezi 429,000 for 7 months period.
riba ni 0.00%
MASHARTI NA VIGEZO KUZINGATIWA.
Semsella Enterprises
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
Sent using
Jamii Forums mobile app