Nataka kuagiza gari naomba mawazo yenu kuhusu jambo moja

Nataka kuagiza gari naomba mawazo yenu kuhusu jambo moja

Asante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now
Mkuu kikija nitafute unipe lift tupige misele hapa town hukuu miguu nimeweka kwenye dashboard kishoka
 
Usije ukaenda benki na hizo USD watakuambia wazibadilishe ziwe kwa Tshs kwa rates zao ambazo ni ndogo sana..kama unanunua ndinga beforwad jamaa wana akaunti yao hapa bongo ila ile $50 transafer fee lazima uilipe

Mkuu, kwenye kuagiza gari kutoka nje, najaza nani kwenye 'consignee' na 'notify party'?
 
Asante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now

Mkuu usafiri ulifika salama?
 
Mkuu consignee ni wewe hapo unaenunua gari au buyer na notify party ni yule mtu anaepewa taarifa baada ya gari kufika hapa atakua ni agent mkuu...

Consignee: wameweka cargo & freight company ambayo ni Documents Processing Center iitwayo ''CW Shipping Tanzania Ltd"

Notify Party: Same as consignee.
Mkuu, hiyo iko sawa?
 
Consignee: wameweka cargo & freight company ambayo ni Documents Processing Center iitwayo ''CW Shipping Tanzania Ltd"

Notify Party: Same as consignee.
Mkuu, hiyo iko sawa?
Kwa kwaio maana yake anayeipokea hizo documents ni hio kampuni ambayo itakupasa uwalipe hela $70 kuzipata hizo document bila shaka kuna kitu nimekumbuka hao watachukua hizo docs on behalf maana labla gari halijafika mambo yanaweza kua mengi hapo kati kati notufy party itabidi uwe wewe hapo ingawa kikawaida consignee ni buyer
 
Kampuni kama enhance auto wana akaunt yao hapa bongo Barclays unalipa cash bank au unatransfa kutka benk yako kwenda kwao kwa makato yasiozidi 10k Tsh.
 
Chief, sasa hapa unapataje faida mkuu?
Njia rahisi zaidi ni kwenda kulipia ofisini kwao pale mjini ...

Una withdrawl unakwenda ku change kwenye duka la fedha, kisha unawapelekea pale ofisini kwao.

Hii inakua fastest way..

Aidha,


expand...

Karibu ofisini kwetu

Sisi ni waagizaji, ila tunakuagizia kwa malipo ya awamu-awamu, kutoka kampuni yeyote ile uipendayo ...

Kwa mfano, (Labda kwenye website ya Be forward, Enhance, Autocom n.k) ukaiona gari wanauza (Tuseme)

Toyota Ist

Unachopaswa kufanya ni kuja ofisini kwetu na stock Id ya gari husika.

Mfano,

Labda gari husika ni 12m
Badala ya kulipia 12m wewe unalipia 9,000,000

Gari inaletwa, unakabidhiwa 3,000,000 unaimalizia kwa instalment kila mwezi 429,000 for 7 months period.

riba ni 0.00%

MASHARTI NA VIGEZO KUZINGATIWA.


Semsella Enterprises
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now
Vp ndinga ishaingia Bongo land?
 
Mkuu consignee ni wewe hapo unaenunua gari au buyer na notify party ni yule mtu anaepewa taarifa baada ya gari kufika hapa atakua ni agent mkuu...

Mimi ninachofanya mara zote kwa sababu inatokea kuna mteja anataka gari na yuko mikoani, mimi najaza consignee jina lake. Ila notify party na where to send document najaza jina na anwani yangu. Nikikabidhiwa doc yangu na DHL nampigia agent anakuja kuzichukua na kuzifanyia kazi
 
Back
Top Bottom