TANZANIA NCHIYANGU
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 633
- 805
Mkuu kikija nitafute unipe lift tupige misele hapa town hukuu miguu nimeweka kwenye dashboard kishokaAsante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now
Usije ukaenda benki na hizo USD watakuambia wazibadilishe ziwe kwa Tshs kwa rates zao ambazo ni ndogo sana..kama unanunua ndinga beforwad jamaa wana akaunti yao hapa bongo ila ile $50 transafer fee lazima uilipe
Asante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now
Mkuu consignee ni wewe hapo unaenunua gari au buyer na notify party ni yule mtu anaepewa taarifa baada ya gari kufika hapa atakua ni agent mkuu...Mkuu, kwenye kuagiza gari kutoka nje, najaza nani kwenye 'consignee' na 'notify party'?
Mkuu consignee ni wewe hapo unaenunua gari au buyer na notify party ni yule mtu anaepewa taarifa baada ya gari kufika hapa atakua ni agent mkuu...
Sawa na milioni ngapi hiyo ?Hata hizo $5000 ni nyingi saaaana,wengi inachezea hapo kwny $2000's tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kwaio maana yake anayeipokea hizo documents ni hio kampuni ambayo itakupasa uwalipe hela $70 kuzipata hizo document bila shaka kuna kitu nimekumbuka hao watachukua hizo docs on behalf maana labla gari halijafika mambo yanaweza kua mengi hapo kati kati notufy party itabidi uwe wewe hapo ingawa kikawaida consignee ni buyerConsignee: wameweka cargo & freight company ambayo ni Documents Processing Center iitwayo ''CW Shipping Tanzania Ltd"
Notify Party: Same as consignee.
Mkuu, hiyo iko sawa?
Njia rahisi zaidi ni kwenda kulipia ofisini kwao pale mjini ...
Una withdrawl unakwenda ku change kwenye duka la fedha, kisha unawapelekea pale ofisini kwao.
Hii inakua fastest way..
Aidha,
expand...
Karibu ofisini kwetu
Sisi ni waagizaji, ila tunakuagizia kwa malipo ya awamu-awamu, kutoka kampuni yeyote ile uipendayo ...
Kwa mfano, (Labda kwenye website ya Be forward, Enhance, Autocom n.k) ukaiona gari wanauza (Tuseme)
Toyota Ist
Unachopaswa kufanya ni kuja ofisini kwetu na stock Id ya gari husika.
Mfano,
Labda gari husika ni 12m
Badala ya kulipia 12m wewe unalipia 9,000,000
Gari inaletwa, unakabidhiwa 3,000,000 unaimalizia kwa instalment kila mwezi 429,000 for 7 months period.
riba ni 0.00%
MASHARTI NA VIGEZO KUZINGATIWA.
Semsella Enterprises
P.o.box 63178, Dar es salaam
Shekilango, nhc plot number 242
Block number 1,1F
Call/text/Whatsapp text us 24/7
+255745229947
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp ndinga ishaingia Bongo land?Asante mkuu nitakuja awamu nyingine, lakini hii tayari nilishamaliza mchakato kitambo. Siku napost hapa kesho yake nilikwenda kufanya malipo. Kitu kiko ndani ya meli inapepea kuja DSM port now
Mkuu usafiri ulifika salama?
Vp ndinga ishaingia Bongo land?
Mkuu consignee ni wewe hapo unaenunua gari au buyer na notify party ni yule mtu anaepewa taarifa baada ya gari kufika hapa atakua ni agent mkuu...
Kwa hiyo mkuu unatembelea makalio, safi sanaKitambo sana