Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Nataka kuagiza gari Japan lakini nataka niwahusishe maafisa wa TRA ili waone procedure zangu zote mpaka ninavyotuma $ 1600 ili niepukane na uplift zao za kupandisha mpaka dola $7000.
Je litawezekana?
#kuona ni kuamini, kuona ni uhalisia.
Je litawezekana?
#kuona ni kuamini, kuona ni uhalisia.