mr.general
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 989
- 610
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi kijana mwenzenu nimelenga kujilipua kwa kuagiza mzigo kutoka china kwa mara ya kwanza,hivyo basi naomba munielekeze namna ya kufanya malipo.
natanguliza shukrani za dhati
natanguliza shukrani za dhati