kagaruki gabone
Member
- Aug 26, 2013
- 22
- 1
Usiripoti chuoni ndiyo njia sahihi.
kwel usiripot chuon..mi mwnyw nimepata mkopo ila hii chuo cha KIU uzush xana so nimeamua kuhairisha nishalipia na mtihan yan napga upya afu mwakan naomba tena muhas au udom mkuu....vp tatzo nin uhairishe?
kwel usiripot chuon..mi mwnyw nimepata mkopo ila hii chuo cha KIU uzush xana so nimeamua kuhairisha nishalipia na mtihan yan napga upya afu mwakan naomba tena muhas au udom mkuu....vp tatzo nin uhairishe?
Mkuu, ulikuwa KIU mwaka wa ngapi?
Yaani loan sijapata na ukiangalia course yenyewe niliyochaguliwa ni utata mtupu. Nilipata Bed psychology UDSM. Ila hali ya mfuko ndo inanifanya niahirishe masomo kwa mwaka huu mkuu
Kwa hiyo pale Heslb hutoi taarifa yeyote? Me naona kama una mkopo na unataka kuahirisha ni vyema ukatoa taarifa Heslb ili pesa yako apewe mtu mwengine!! La sivyo bodi itakuwekea red mark!! Na hawatakupa tena
kwel usiripot chuon..mi mwnyw nimepata mkopo ila hii chuo cha KIU uzush xana so nimeamua kuhairisha nishalipia na mtihan yan napga upya afu mwakan naomba tena muhas au udom mkuu....vp tatzo nin uhairishe?
mkuu nimejaribu kufuatilia post zako...mara upo muhas mara kcmc...hii nayo naona upo kiu...duuh!!!