sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Habari zenu wana Jamii forums.
Jumapili hii tulivu ya leo nimechekecha kichwa kidogo nimepata wazo la kuandika kitabu kisha nikipeleke kampuni ya ucapishaji na usambazaji kiwe kinnapatikana kwenye stationary na naduka ya vitabu.
Kabla sijaanza kukiandika nimeona ni vema niyajue kwanza mazingira ya hii biashara kuhusu makampuni yanayochapisha na kusambaza vitabu na maslahi kwa aliekiandika kitabu yapoje?
Pia nakumbuka nikiwa sekondari, kuna vitabu unakuta karibia kila mwanafunzi alikuwa nacho katika shule nyingi na kila mwaka vinanunuliwa vingi sana, je hawa watu wanafaidika na mauzo ya hivi vitabu?
Jumapili hii tulivu ya leo nimechekecha kichwa kidogo nimepata wazo la kuandika kitabu kisha nikipeleke kampuni ya ucapishaji na usambazaji kiwe kinnapatikana kwenye stationary na naduka ya vitabu.
Kabla sijaanza kukiandika nimeona ni vema niyajue kwanza mazingira ya hii biashara kuhusu makampuni yanayochapisha na kusambaza vitabu na maslahi kwa aliekiandika kitabu yapoje?
Pia nakumbuka nikiwa sekondari, kuna vitabu unakuta karibia kila mwanafunzi alikuwa nacho katika shule nyingi na kila mwaka vinanunuliwa vingi sana, je hawa watu wanafaidika na mauzo ya hivi vitabu?