Nataka kuandika Wosia


Lakn la kuzingatia hpo n kwamba wosia unapotolewa na mtu ni lazima ile mali n ya kwakwe binafsi anayotaka kutoa ila kama sio yake binafsi hawez kutoa mfano kama hyo nyumba yenu ni ya ndoa hvo ama mkubaliane na baba yao au kuwe na talaka itakayowafanya mtengane kisheria ili ile mali mgawane alafu yako ndo uandike wosia kumpa mtakaye kwasababu tayar n yako binafsi.
Ila Mungu anachukia talaka sijapenda kukushaur kutaka talaka
 


Ushauri utazingatiwa.
 
Nilifaidi namna ya kuandika usia kiasi. kama naweza kupata fomat yake maana babu amenipa shamba ila hatujaandikisha. msaada jamani
 
Sasa Mamndenyi huyu mtu unaenda kumuhudumia Mungu akubariki kwa kuonyesha nia ila kama yule mke wake yupo usiende. Tuma hela.
 
salam wana jukwaa
Nataka kuandika wosia lakini sijui nianzie wapi na nifanye vipi. naomba muongozo wa kuandika wosia huo.
Nawasilisha tafadhali
 
salam wana jukwaa
Nataka kuandika wosia lakini sijui nianzie wapi na nifanye vipi. naomba muongozo wa kuandika wosia huo.
Nawasilisha tafadhali
nahoza vipi una miaka mingapi au unataka desa ya mwanafunzi umetumia ujanja!
 
Shukrani kwa andiko zuuri... But huu sio utaratibu wa kuandika wosia...

Bali umeelezea tu jinsi ya kuandaa wosia.

Ninachohitaji kujua ni zile steps... Yaani naanzia kwa mwenyekiti wa mtaa... Naenda mahakamani... Labda sijui naenda bomani...

Km nimeoa lazima niwe na mke wangu kwenye kutia saini ama....


Yaani flow zile steps zoote hadi wosia unaukamata mkononi
 
Mama angu kwema ulifanikiwa? Usije ukawatoa watoto zako kwenye kurithi pasipo sababu za msingi... Kila anayestahili kupata haki yake na apate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…