Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Kama hapo hakuna majirani, google mkuu hapa utapika wali una mchuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wewe unajua kupika au hujui??Nini, nyanya kwenye wali? Nieleweshe vizuri aisee. Wali si utajua na uchach wa nyanya?
Sio vibaya ukanielekeza vizuri.
Ye ananenepa na wewe unakonda ,kwa mawazooooh(kumbe ni kwa njaa).jamaa yetu yamemkuta!Kuachwa kuachwa, kuachwa ni shughuli pevu - By Khalid Chokoraa.
Nitake radhi mkuu!nasimama kama mama,namfundisha kupika..nitamuuaje sasa.Sukari ukichanganya na chumvi inazalisha sumu na ndimu ambayo ni acid ,unataka kumuua mtoa thread si bure
Habari ya wakati huu wakuu.
Kwa muda mrefu sana sijawahi kupika, sasa nataka nianze kujipikia simple foods napokua nyumbani.
Sasa niliwahi kununua hii kitu inaitwa rice cooker ya kilo 2 muda mrefu sana ila kwa kua hua sipiki hivyo sijawahi kujua naipikiaje.
Ningependa kujua kama nataka kupika nusu kilo naweka maji kiasi gani? Nisije kupika ikawa uji, maana juzi nilipika kwa sufuria kwenye gesi ikawa kituko.
Naomba pia mnifundishe simple foods za kupika nyumbani, nimechoka kula kula migahawani.
Najua kuchemsha supu ya kuku wa kienyeji, kuchemsha chai, kupika ugali, kupika nyama. Natamani kujua zaidi.
Ahsanteni.
Dahh,majibu ya hapa ni kichefuchefu.
Anyway,mkuu osha mchele wako vema,pima maji kutegemeana na kiasi kilichoelekezwa,weka mchele ndani ya rice cooker yako wakati tayari ukiwa umesha weka chumvi na mafuta,kisha weka kwenye umeme.
Kumbuka hapo kwenye rice cooker kuna taa za rangi mbili au tatu kutegemea na aina ya rice cooker,ile tas nyekundu ndio kiashiria kwamba rice cooker yako yako inafanya kazi,kisha itawaka ya kijani/njano na hiyo tafsiri yake ni kwamba kitu kimeiva so ni wewe kucheki tu kama umekauka kiasi upendacho then pakua piga mlo kwa raha zako.
Siyo kila Jukwaa ni Chitchat, kawaida ya hili Jukwaa hakunaga majibu ya hovyo hovyo kama haya.Chukua kitunguu weka kwenye maji changanya na chunvi ya kutosha ...
Pia nyanya ni muhimu sana ili rice cooker iivishe wali vizuri.
Weka wali wako baada ya kuweka nyanya na vitunguu....kisha jaza maji hadi juu ...angalia maji yasifulumie
Weka mchele,changanya na sukari vijiko sita chumvi nusu kijiko,mafuta kikombe cha rice cooker kimoja,katia ndimu mbili. Weka maji kiasi yafunike mchele halafu chomeka kwenye soket uiwashe.
Swali lenyewe nalo ukakasi tu.Siyo kila Jukwaa ni Chitchat, kawaida ya hili Jukwaa hakunaga majibu ya hovyo hovyo kama haya.
Kama hujui kaa kimya kama wengine.
Congratulation, your idiot licence has been renewed for anaother 2 fuc.ken good years.Mkuu wewe unajua kupika au hujui??
Kama hujui chukua maufundi niliyokupa hapo juu
Big up, you have just renewed your idiot licence.
Kama wewe ni mama basi mume wako ana hasara maana utakua umemzalia mazezeta tupu.Nitake radhi mkuu!nasimama kama mama,namfundisha kupika..nitamuuaje sasa.
Sent from my TECNO 7C using JamiiForums mobile app
Hahaaaaaaaaaaaaaaaa aiseeeSo unapota kupika ugali utasemaje?unapika unga?na unapotaka kupiga maandazi unasemaje?unapika unga wa ngano?umekuja mjini lini wewe?
Pengine ata rice cooker huijui.
Except that they can cook rice, where is your pride?Kama wewe ni mama basi mume wako ana hasara maana utakua umemzalia mazezeta tupu.