sungura23
Member
- Apr 1, 2013
- 52
- 73
Nakupa moyo, kasome. Tena soma kadri utakavyoweza.
Elimu haina mwisho, na kadri unavyosoma unapanuka mawazo kwa namna nyingi sana.
Ukiwa na maswali zaidi kuwa huru kuniuliza, mm ni mwalimu wa QT na resitters, nafundisha masomo yote ya arts.
MUNGU akusimamie na akusaidie katika malengo yako.
Elimu haina mwisho, na kadri unavyosoma unapanuka mawazo kwa namna nyingi sana.
Ukiwa na maswali zaidi kuwa huru kuniuliza, mm ni mwalimu wa QT na resitters, nafundisha masomo yote ya arts.
MUNGU akusimamie na akusaidie katika malengo yako.