Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sinza napaelewa nimeishi kwa ndugu, this time nataka niishi kivyangu. So hamna kitu kigeni.Wenzio walisema hivyo hivyo, Ila automatically wakajikuta wameingia kwenye system 😀
😁 Hapana ila mishe zangu ni jirani na hayo maeneo.Umepata kazi mlimani city nini mkuu
Wadangany fbSina umaafu ndio maana sipo insta, una lingine?
Unapata man ila Mawasiliano sio pazuri nyumba zake zina ugonjwa wa fangasi ya ukuta na mafuriko/maji kuingia ndani.Mwisho 150k
Ahsante kwa kunisanua, una mchongo wowote kuhusu room hapo sinza?Unapata man ila Mawasiliano sio pazuri nyumba zake zina ugonjwa wa fangasi ya ukuta na mafuriko/maji kuingia ndani.
Ngoja nitakuulizia. Kuna mahala ex wangu alikua anakaa self ya sebule chumba na jiko maji ndani ilikua 200k.Ahsante kwa kunisanua, una mchongo wowote kuhusu room hapo sinza?
Ngoja nitakuulizia. Kuna mahala ex wangu alikua anakaa self ya sebule chumba na jiko maji ndani ilikua 200k.
Kwa maana iyo kwa 150 unapata single moja kali sana.
Pia, Sinza nyumba nyingi sana wanakaa maji bure. DAWASA sijui inafeli wap
Ngoja nitakuulizia. Kuna mahala ex wangu alikua anakaa self ya sebule chumba na jiko maji ndani ilikua 200k.
Kwa maana iyo kwa 150 unapata single moja kali sana.
Pia, Sinza nyumba nyingi sana wanakaa maji bure. DAWASA sijui inafeli wapi.