Nataka kuanzisha kiwanda cha tomato souce, naomba muongozo

Nataka kuanzisha kiwanda cha tomato souce, naomba muongozo

Wasalaam wana jukwaa,nimejaribu kutafiti biashara hii nimegundua vifaa havina gharama sana kwa scale niliyo amua kuanza nayo,kwam blender ya kawaida ya lita mbili inatosha kuanzia,ges na jiko kwa akil ya blanching na canning,milion moja inatosha, shida hapa ni packeging {vifugasgio} nawaza niende SIDO nikaonane nao kama kutakuwa na koz itabidi niifanye, tatizo jingine ni kuirasimisha, naona milolongo ni mingi wakati mi nataka kuanzisha small scale,

Mkuu,

Hapo kwenye wino uliokolezwa, unaweza kusajili kampuni au jina la biashara (waweza nicheki inbox kwa utekelezaji) na kisha ufuate taratibu za kujisajili kwenye mamlaka nyinginezo ikiwemo Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Madawa (TFDA), bila kujali udogo wa biashara yako yako, kuna faida kuirasimisha.

Kaka ...
 
mwenye idea na biashala hii anijuze,kwan nataka kuanzisha kiwanda kidogo kitakacho zalisha lita 50-100 kwa siku.Ilia sijui pa kuanzia
vifaa,mtaji,mahitaji na upatikanaji wa mashine pia vifungashio
Yafuatayo ndiyo mahitaji ya kutengeneza tomato source.

1. Nyanya kilo 1.
2. Vitunguu maji viwili.
3. Vinegar vijiko 3 vya chai.
4. Sukari vijiko 2 vya chai.
5. Chumvi kijiko kimoja cha chai
6. Maji ya moto kikombe kimoja cha chai.
7. Mafuta ya kula vijiko 7 ya vyakula.

Haya ndiyo mahitaji ya kutaka kutengeneza tomato souce, hata hivyo kama unataka kutengeneza zaidi ya hapo unatakiwa kuongeza uwiano wa mahitaji hayo.

JINSI YA KUTENGENEZA TOMATO SOURCE.

HATUA YA KWANZA.

a) Menya nyanya na vitunguu kisha vikate vipande vidogo vidogo.

b) Tumia Brenda kusaga mchanganyiko wako.

c) Anza kuweka malighafi namba 1 hadi namba 4 katika brenda yako kutokana na ratio (uwiano ) uliopewa hapo juu. Saga kwa dakika kadhaa hadi uone imetokea rojo laini.

HATUA YA PILI.

a) Tumia sufuria yenye nafasi kupika mseto huu.

b) Weka sufuria yako jikoni tia mafuta ya kula acha yachemke kisha mwagia mseto wako na kisha uanze kukoroga kwa dakika 30 kuelekea upande mmoja huku ukichemka.

c) Baada ya hapo epua mseto huo utakuwa tayari imeshakuwa tomato funga vizuri na kisha peleka sokoni.

MB:
Sio kwa hisani yangu.
Nimeikuta sehemu nikaona niibebe na nikuletee walau ujue mahitaji machache.
Pia nakushauri upunguze uvivu, na ujisomee na kutafuta kile unacho tamani kukifanya
 
Shenzi type waliofanikiwa wengi hawana hii mentality ni ya kimaskini sanaa... Mfano Diamond mwenyewe angekua anawaza hivi ungekuta bado yuko mbagala. Mtu akiwa interest mskilizie kama mnaendana.. na keep proper record kama mko partners mnakua full transparent mtafanikiwa sanaa huu msuli wa kukomaa mwenyewe... [emoji16] . kua na partner mnaendana kitabia na mnaenda kwa makubaliano mwanzo mwisho.
Muache huyo ajui maana ya kufanikiwa
 
we unapajua wap? uenyeji wako utanisaidia nn mimi? kwanza sihitaji share kabisa hii itapunguza migogoro ya kiutendaji na kimaslahi pia, niache kwanza
Mpuuzi kweli wewe, yaani unaomba msaada ili usaidiwe alafu unaanza kutoa maneno ya shobo....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Jinga kabosa wewe.... Hapa watu tunakuhurumia na tunakutafutia informations ili zikusaidie na huu msalaba wako, kisha unajifanya mjuaji. Na watu wenye roho mbaya kama wewe, kamwe huwa hawafanikiwi milele.
Alafu hapa nakuona ukitoa maneno ya hovyo kashombo la sangara utadhani tayari ushaanza kufanikiwa....[emoji57] [emoji57] [emoji57]
....mbaf zako kabisa....[emoji34] [emoji34]
 
Ungemuuliza Prof. Muhongo angekupa ushauri mzuri maana yeye anao uzoefu na hivi viwanda vya tomato,juice nk.
Haya ndio majibu yanayo wafaa wajinga wachache kama hawa
 
we unapajua wap? uenyeji wako utanisaidia nn mimi? kwanza sihitaji share kabisa hii itapunguza migogoro ya kiutendaji na kimaslahi pia, niache kwanza
Du, kwa hiyo reply yako unaonekana ni selfish sana..ni kweli mambo ya shares huwa na migogoro especially kama hamfahamiani, ila hukuhitaji kumjibu kwa style hiyo...
 
we unapajua wap? uenyeji wako utanisaidia nn mimi? kwanza sihitaji share kabisa hii itapunguza migogoro ya kiutendaji na kimaslahi pia, niache kwanza
Duh umetuvunja moyo, sorry lkn
 
samahn kw kuchelewa,,nilikuwa shamba
mwaka2015 nilikuja kwenu kuomba ushaur juu ya kilimo kwa drip irrigation ,ambapo nilikua na 7mil, nilifanikiwa kufunga kwa 2mil. ma nikafanya kuongeza eneo na mambo mengine.
kilicho nikuta ,kunawatu hum waliomba tushirikiane nikakubal nikawap no za sim na e-mail zangu, nilicho ambulia ni usumbmufu, mtu mala anasema naul imemuishia njian,mara naalikwa walsha,mara natumiwa link ya ku-purchas vifaa,
ni mambo mengi tu yenye dalili za utapel,
huu ni mrad wa pili zao la mrad wa kwanz
kama nimewauz mnisamee bure,sikuwa na nia mbaya wanajukwaa
 
samahn kw kuchelewa,,nilikuwa shamba
mwaka2015 nilikuja kwenu kuomba ushaur juu ya kilimo kwa drip irrigation ,ambapo nilikua na 7mil, nilifanikiwa kufunga kwa 2mil. ma nikafanya kuongeza eneo na mambo mengine.
kilicho nikuta ,kunawatu hum waliomba tushirikiane nikakubal nikawap no za sim na e-mail zangu, nilicho ambulia ni usumbmufu, mtu mala anasema naul imemuishia njian,mara naalikwa walsha,mara natumiwa link ya ku-purchas vifaa,
ni mambo mengi tu yenye dalili za utapel,
huu ni mrad wa pili zao la mrad wa kwanz
kama nimewauz mnisamee bure,sikuwa na nia mbaya wanajukwaa
Hahahaa... Forever living na GNLD hwakukuacha salama??
 
Mpuuzi kweli wewe, yaani unaomba msaada ili usaidiwe alafu unaanza kutoa maneno ya shobo....[emoji51] [emoji51] [emoji51]
Jinga kabosa wewe.... Hapa watu tunakuhurumia na tunakutafutia informations ili zikusaidie na huu msalaba wako, kisha unajifanya mjuaji. Na watu wenye roho mbaya kama wewe, kamwe huwa hawafanikiwi milele.
Alafu hapa nakuona ukitoa maneno ya hovyo kashombo la sangara utadhani tayari ushaanza kufanikiwa....[emoji57] [emoji57] [emoji57]
....mbaf zako kabisa....[emoji34] [emoji34]
Aisee mzeee nilikuwa nasoma hii, kuji funza kuhusu hii kitu.
Ghafla nakuta ushauri wako😁😆
 
Hakikisha hizo tomato sauce zako zinakuwa na ladha kama ya zile za American garden utatukamata sana wateja.
 
nyanya zipo mpaka za kumwaga kama hizo apo ni zimeuzwa mpaka zimebaki soko tatizo... bei. currently Iringa ime drop mpaka kero... chukua fursa boss
Shida serikali kupitia mamlaka zake wanarudisha nyuma sana jitihada za viwanda vidogo vidogo ambavyo havijakua vizuri ambavyo ndio vingekuwa mkombozi mkubwa sana wa wakulima kwa kuwa wanunuzi wakubwa wa mazao ambayo yanatumika kutengeneza bidhaa zenye uhitaji mkubwa huku mjini.

Sasa vitu kama nyanya vinaozaje na kutupwa huko shambani na wakati kuna mbinu kibao za kusindika na kuzitumia kwa matumizi mbali mbali ya chakula.

Demand ni kubwa sana shida ni hizi mamlaka uchwara zinaharibu sana hii natural process ya kukua kwa uchumi.
 
mwenye idea na biashala hii anijuze,kwan nataka kuanzisha kiwanda kidogo kitakacho zalisha lita 50-100 kwa siku.Ilia sijui pa kuanzia
vifaa,mtaji,mahitaji na upatikanaji wa mashine pia vifungashio
kwa mtaji huo wa 100L anza na zile pilipili buku kwa lita moja tafuta wasambazaji masokoni na feri kule kwenye samaki as you grow unaongeza bidhaa, biashara ya uzalishaji ili upate faida inatakiwa uzalishaji uwe mkubwa sana maana unategemea mzungupo pia huna uzoefu so biashara ya pilipili itakupa uzoefu wakutosha sana kuweza kusoma soko lilivyo,malighafi,misimu ya mazao,kampuni nzuri ya usafirishaji wa vifungashio,supplier mzuri wa bei nafuu China and the likes
nipo kwenye industry ya uzalishaji naelewa ninachoandika
 
Back
Top Bottom