Ng'wanambula
Senior Member
- Oct 2, 2011
- 197
- 54
Wakuu naomba msaada wa jinsi ya kuanzisha NGO.Ni nini kinatakiwa na ni hatua gani za kufuata ili kuanzisha NGO.NGO nitakayoanzisha nataka iwe ina deal na health, sanitation and hygiene.Nawasilisha wakuu