Nataka kuanzisha show ya live stand-up comedy, naomba ushauri wenu

Nataka kuanzisha show ya live stand-up comedy, naomba ushauri wenu

Socw

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
1,329
Reaction score
2,644
Sijui kama jukwaa hili linafaa kwa aina huu ya uzi ila kama mods wataona hapa siyo mahala sahihi basi waupeleke pale panapostahili.

Nataka kuanziasha show ya live stand comedy, mfano wa cheka tu au watu baki. Kwa upande wangu nimejipima nimeona naweza kufanya kitu na watu wakakipenda.

Nimekuja kwenu kuuliza kupata mawazo na ushauri juu ya utekelezaji wa wazo hili.

Nataka nianze kwa kufanya show ya kwanza ambayo itakuwa ya bure kabisa ili kuwaonyesha watu kitu nilichonacho. hivyo ningependa kujua zaidi kuhusu yafuatayo:

1. Gharama za kukodi ukumbi wa kawaida kwa ajili ya tukio zikoje (mfano watu 500)

2. Gharama za vifaa vya muziki, na watu wa kurekodi video

3. Namna gani ninaweza kupata watu watakaokuja kwenye show yangu ya kwana ikizingatiwa kuwa mimi bado sijulikani.

4. Kama kuna chochote cha ziada ambacho sijakitaja lakini ni cha muhumu.

Location: Dar es salaam
 
Kwanini usianze kwa kujiunga na hizi platforms kama cheka tu n.k ili watu waone kwanza ulicho nacho kabla ya kuanza kuhangaika na hicho unachotaka kufanya????

Maana unaweza jikuta unakula bonge la hasara kiasi cha kushindwa kutimiza adhima yako. 😎
 
Kwanini usianze kwa kujiunga na hizi platforms kama cheka tu n.k ili watu waone kwanza ulicho nacho kabla ya kuanza kuhangaika na hicho unachotaka kufanya????

Maana unaweza jikuta unakula bonge la hasara kiasi cha kushindwa kutimiza adhima yako. 😎
Nimekuelewa na nilishafikiria hivyo kabla lakini sijaamua kuchukua hiyo oprtion kwa kuwa aina yangu ya uwasilishaji wa maudhui ipo tofauti kidogo ya hizo platform. Maudhui yao yamejikita kwenye comedy kwa asilimia nyingi. Lakini mimi maudhui yamejikita kwenye elimu na therapy inayowasilishwa kwa njia ya comedy. Hivyo niliona siwezi kuwa compatible na platform zilizopo japokuwa naweza kuswitch ili nifit humo then nikarudi kwenye mfumo wangu baadae.

Lakini njia hiyo uliyonishauri ina risk ndogo kuliko hii ninayotaka kuichukua na nakubaliana na wewe kuwa mambo yakienda ndivyo sivyo unaweza kupiga chini na usiamke tena.
 
Nimekuelewa na nilishafikiria hivyo kabla lakini sijaamua kuchukua hiyo oprtion kwa kuwa aina yangu ya uwasilishaji wa maudhui ipo tofauti kidogo ya hizo platform. Maudhui yao yamejikita kwenye comedy kwa asilimia nyingi. Lakini mimi maudhui yamejikita kwenye elimu na therapy inayowasilishwa kwa njia ya comedy. Hivyo niliona siwezi kuwa compatible na platform zilizopo japokuwa naweza kuswitch ili nifit humo then nikarudi kwenye mfumo wangu baadae.

Lakini njia hiyo uliyonishauri ina risk ndogo kuliko hii ninayotaka kuichukua na nakubaliana na wewe kuwa mambo yakienda ndivyo sivyo unaweza kupiga chini na usiamke tena.
Nashukuru kwa kunielewa mkuu nadhani think twice Kabla hauja fanya maamuzi 😎
 
Sijui kama jukwaa hili linafaa kwa aina huu ya uzi ila kama mods wataona hapa siyo mahala sahihi basi waupeleke pale panapostahili.

Nataka kuanziasha show ya live stand comedy, mfano wa cheka tu au watu baki. Kwa upande wangu nimejipima nimeona naweza kufanya kitu na watu wakakipenda. Nimekuja kwenu kuuliza kupata mawazo na ushauri juu ya utekelezaji wa wazo hili.

Nataka nianze kwa kufanya show ya kwanza ambayo itakuwa ya bure kabisa ili kuwaonyesha watu kitu nilichonacho. hivyo ningependa kujua zaidi kuhusu yafuatayo:

1. Gharama za kukodi ukumbi wa kawaida kwa ajili ya tukio zikoje (mfano watu 500)

2. Gharama za vifaa vya muziki, na watu wa kurekodi video

3. Namna gani ninaweza kupata watu watakaokuja kwenye show yangu ya kwana ikizingatiwa kuwa mimi bado sijulikani.

4. Kama kuna chochote cha ziada ambacho sijakitaja lakini ni cha muhumu.

Location: Dar es salaam
Anza kwanza kwa kutengeneza vi clip vya komedi yako Kali anza na kuji brand fanya kwa bidii mpaka viende viral.

Hakikisha vinakua trending sehemu mbali mbali push Sana Sana kwa miezi mitatu non stop uone umefika wap..

Silaha ya kwanza Ni kujiamini na kuamini unacho kifanya Mimi mwenyezi Mungu aliweka kipaji Cha ajabu Cha mpira wa miguu kwenye mguu wangu wa kushoto Ila Mimi nili udharau mpira wa miguu kwa kipindi nacheza mpira haukua una pay Kama Sasa.

Sijawai kufail kwa chochote nilicho kiamini na kukifanya fanya kwa bidii jifunze MAARIFA mengi fanya kwa bidii.

NB.
Kuna jamaa watakuja hapa watakwambia uanzishe kilimo Cha mboga mboga na matunda Kama matikiti,matango n.k 😊☺️ mkuu asiwepo wa kukuzuia pambana.

Ambition is a dream with a V8 engine.
 
Anza kwanza kwa kutengeneza vi clip vya komedi yako Kali anza na kuji brand fanya kwa bidii mpaka viende viral.

Hakikisha vinakua trending sehemu mbali mbali push Sana Sana kwa miezi mitatu non stop uone umefika wap..

Silaha ya kwanza Ni kujiamini na kuamini unacho kifanya Mimi mwenyezi Mungu aliweka kipaji Cha ajabu Cha mpira wa miguu kwenye mguu wangu wa kushoto Ila Mimi nili udharau mpira wa miguu kwa kipindi nacheza mpira haukua una pay Kama Sasa.

Sijawai kufail kwa chochote nilicho kiamini na kukifanya fanya kwa bidii jifunze MAARIFA mengi fanya kwa bidii.

NB.
Kuna jamaa watakuja hapa watakwambia uanzishe kilimo Cha mboga mboga na matunda Kama matikiti,matango n.k 😊☺️ mkuu asiwepo wa kukuzuia pambana.

Ambition is a dream with a V8 engine.
Shukran kwa ushauri mkuu, nitaufanyia kazi...
 
Si kuna Bar huwa comedians wanaperform? Kajipime kwanza huko. Kwanza bar za namna hii zilitakiwa kuwepo kila mji mkubwa. Watenge usiku mmoja unakuwa usiku wa standup.
Hivi hizi clubs zipo hapa bongo? maana mimi naonaga ukitoa hizi platform zilizopo maistream hakuna nyingine huku chini. Kama zipo nitajie kadhaa ili nianze kwenda kupasha misuli huko na kupata real experience...
 
Kama unaamini unakitu ,jaribu kwanza kutafuta fursa za kuburidisha kwenye mikusanyiko ,iwe sherehe za harusi,au mikutanao.Approach unayotaka kutumia yaweza kukutia hasara.
Ningefurahi tuwe na stand up commedians kama wale jamaa wa marekani Jeff Dunham na Gabriel Iglesias.
 
Hivi hizi clubs zipo hapa bongo? maana mimi naonaga ukitoa hizi platform zilizopo maistream hakuna nyingine huku chini. Kama zipo nitajie kadhaa ili nianze kwenda kupasha misuli huko na kupata real experience...
Mtafute yule Evans Bukuku wana ile Punchline, nadhani ni comedy club
 
Sijui kama jukwaa hili linafaa kwa aina huu ya uzi ila kama mods wataona hapa siyo mahala sahihi basi waupeleke pale panapostahili.

Nataka kuanziasha show ya live stand comedy, mfano wa cheka tu au watu baki. Kwa upande wangu nimejipima nimeona naweza kufanya kitu na watu wakakipenda. Nimekuja kwenu kuuliza kupata mawazo na ushauri juu ya utekelezaji wa wazo hili.

Nataka nianze kwa kufanya show ya kwanza ambayo itakuwa ya bure kabisa ili kuwaonyesha watu kitu nilichonacho. hivyo ningependa kujua zaidi kuhusu yafuatayo:

1. Gharama za kukodi ukumbi wa kawaida kwa ajili ya tukio zikoje (mfano watu 500)

2. Gharama za vifaa vya muziki, na watu wa kurekodi video

3. Namna gani ninaweza kupata watu watakaokuja kwenye show yangu ya kwana ikizingatiwa kuwa mimi bado sijulikani.

4. Kama kuna chochote cha ziada ambacho sijakitaja lakini ni cha muhumu.

Location: Dar es salaam
Hebu tuchekeshe kwanza tuone kipaji.
 
Nimefurahia kujiamini ulikonako ndani yako
Tafuta platform ya kutokea
Kama media, mitandao nk

Mungu akusaidie ufanikishe lengo lako mkuu
 
Kama unaamini unakitu ,jaribu kwanza kutafuta fursa za kuburidisha kwenye mikusanyiko ,iwe sherehe za harusi,au mikutanao.Approach unayotaka kutumia yaweza kukutia hasara.
Ningefurahi tuwe na stand up commedians kama wale jamaa wa marekani Jeff Dunham na Gabriel Iglesias.
Naona watu wengi wananishauri kwanza nianzie pembeni kwenye platform nyingine jambo ambalo nilikuwa sijalipa kipaumbele kabisa kwa sababu pengine naamini sana kitu nilichonacho kuwa kinaweza kukubalika mara tu kikionekana. Lakini mambo yanaweza kuwa vice versa kama usemavyo nikapata hasara. I think natakiwa kuuzingatia huu ushauri. Kwa kuwa nilikuwa nimepanga nianze next around march an april basi ngoja nitumie muda huu kutafuta platform za kupata uzoefu.

Shukran mkuu.
 
Nimefurahia kujiamini ulikonako ndani yako
Tafuta platform ya kutokea
Kama media, mitandao nk

Mungu akusaidie ufanikishe lengo lako mkuu
Shukran mkuu, watu karibu wote wameshauri nisianze moja kwa moja, nafikiri napaswa kulifuata hilo japo mimi ninajiamini sana hivyo sikuona kama nalazimika kupita huko. lakini watu wengi hawawezi kuwa wrong kwa wakati mmoja. Nimeuchukua ushauri wenu.
 
Ukashindwa hata kutuwekea clip ya japo sekunde 30 kutuonyesha hicho unachodai unacho ama hii platform ya jamiiforam unaichukulia baridi
 
Shukran mkuu, watu karibu wote wameshauri nisianze moja kwa moja, nafikiri napaswa kulifuata hilo japo mimi ninajiamini sana hivyo sikuona kama nalazimika kupita huko. lakini watu wengi hawawezi kuwa wrong kwa wakati mmoja. Nimeuchukua ushauri wenu.
Una kitu, utafika mbali.
 
Back
Top Bottom