Nataka kubadilisha jina la ukoo!


mi waga naomba nisikutane na watu kama CPU,manaka hata kama hutaki utataka tu.....Lizzy huyu jamaa vipi??
 
mi waga naomba nisikutane na watu kama CPU,manaka hata kama hutaki utataka tu.....Lizzy huyu jamaa vipi??

watu kama hawa dawa yao huwapi nafasi ya kuwasikiliza........... ukigundua yupo hivi siku ya kwanza ndo iwe ya mwisho kumpa muda wako
 
he he he he.....umelala kweli dearest? pole sana.....share your experience with us,tuamue kama tusuke au tunyoe....l.o.l
Nimelala kama mtoto dearest...tabasamu usoni...amani rohoni yani raha tupu!Inabidi tukuangalizie na wewe sasa dearest!
 
mi waga naomba nisikutane na watu kama CPU,manaka hata kama hutaki utataka tu.....Lizzy huyu jamaa vipi??

Hahahaha jamaa anakaba kweli dearest!Hata nafasi ya kujifikiria mwenyewe sipati!
 
watu kama hawa dawa yao huwapi nafasi ya kuwasikiliza........... ukigundua yupo hivi siku ya kwanza ndo iwe ya mwisho kumpa muda wako

Haya msiopenda kubembelezwa!Wapi wanyanyasaji?
 
Hivi kulikuwa na sherehe ya nini hapa!!
CPU kapata mke au Lizzy kapata mume,
Hebu niambieni iko je iko je!!

Mziki upo, au nilete hili gitaa langu hapa!!!!!!!!!!!
 
Hivi kulikuwa na sherehe ya nini hapa!!
CPU kapata mke au Lizzy kapata mume,
Hebu niambieni iko je iko je!!

Mziki upo, au nilete hili gitaa langu hapa!!!!!!!!!!!
Hehe mamb LD ulikosekana kutoa maushauri!Sipiyu kampata Lizzy na Lizzy kamapata Sipiyu!Tupigie gitaa hilo tuburudike!
 
Najaribu kiperuzi kwenye maandiko ya dini yangu nione kama kuna 'clause' inaniruhusu kuwa na wake wawili...then utakuwa st. lizzy rr!
 
Najaribu kiperuzi kwenye maandiko ya dini yangu nione kama kuna 'clause' inaniruhusu kuwa na wake wawili...then utakuwa st. lizzy rr!

Hehehe ukipata niambie...then nafanya mpango wa kubaki mwenyewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…