cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Hyo tatizo liko kubwa mno, sema to wanawake hufanya siripoa mkuu kama unasema sio kweli nayokuambia. uchangiaji mwema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo tatizo liko kubwa mno, sema to wanawake hufanya siripoa mkuu kama unasema sio kweli nayokuambia. uchangiaji mwema.
Unatumia balimi mkuu99% correct!
Nimeshuhudia zaidi ya ndoa tatu na ziko imara kuliko zilivyokuwa mwanzo
Uyo jamaa wa mtaani hata hakupendi. Kama kweli anakupenda mshauri amwache mke wake . Amfuke ndio umpe game. Asipofanya hivo atakukula then aanze kukutangaza pale hakuna mke ili wanaume wengi wajitose. Ndoa ni kuvumiliana upendo haupo milele.Nimekwama Eve, yaani huyu mwanaume is really cool, caring hatari. Najaribu kuhamishia hisia kwa mume wangu wapi zinagoma, Mume akiingia tafrani, gubu gubu, hakosi cha kukosoa...hajui kusifia cha ajabu huko nje anajichekesha kwa wanawake wengine kama sio yeye. Nimechoka
Wanaume wanajifanya wao ndo wajuzi wa mambo yani inakera basi tu
Nimecheka kwa sauti kwa haya mawiliNimecheka hapo ulipowaita wababa pia waje kukushauri yani umemwaga chumvi juu ya moto ha ha ha ha hiyo kiboko.
fata moyo wako hapa utakutana na wasafi classic wakupe mahubiri, lakini pia ukishapata hamu ya hivo ni haitulii hadi ufanye.....amua we mwenyewe
Comments zao humu majority wanawaongelea wake zao kama ni watu wenye matatizo na maudhi na ni kero sana, nabaki kujiuliza hivi wanaume wao huwa ni malaika au? Na ukweli mchungu ni kwamba ndoa nyingi zipo kwa sababu tu wanawake wameamua ziwepo. Wakiamua kukisanua, siku si nyingi utasikia mume kadondoka ghafla. Nashangaa wanavyowatreat vibaya wake zao as if wanawake tu ndo wanazihitaji hizo ndoa na wao hawana shida nazo, kumbeeeYani wanaume ni wabinafsi mno wake zao hujituma kwa familia then wao wanachepuka wanasingizia eti uvivu wa wanawake, Leo humu wote wana uchungu na wacha Mungu.
Kama unatumia unyee hata 3 apo umeongea cha maanaBalimi teeenah!
Kulikoni maliyamtu:
Nishatunza kwenye file
Je kama anataka amzalie..!!??Usisahau kutumia condom
Nyie wanaume huwa hamleti laana eeeh Leo mumekuwa wahubiri eeehOmba talaka kuliko kufanya ndani ya ndoa. Ukiwa nje ya ndoa utakuwa huru. Ukiwa ndani ya ndoa tegemea mauaji ya kikatili. Either kwako au kwa huyo mwenzako. Lazima mmoja wenu atakufa kifo kibaya... Msitake kuongeza habari kwa polisi kuwa kuna kifo cha kutisha kisa wivu wa mapenzi. acha kabisaaa. Kama umemchoka omba talaka uondoke. Lakini umeshauriwa vya kutosha kama husikii kuna kitu unakitafuta. Na tambua laana hiyo unaipeleka kwenye familia yako na heshima ya familia yako inashuka. Mbaya zaidi wewe unajishushia heshima. Mwisho wa siku utatamani ujiue
Wewe mtie ujinga mwenzio, sio wote wana akili timamu.Smart man.
HahahaaaaaaKama unatumia unyee hata 3 apo umeongea cha maana
Nacheka huku kama mwehuNyie wanaume huwa hamleti laana eeeh Leo mumekuwa wahubiri eeeh
Nimecheka hapo ulipowaita wababa pia waje kukushauri yani umemwaga chumvi juu ya moto ha ha ha ha hiyo kiboko.
fata moyo wako hapa utakutana na wasafi classic wakupe mahubiri, lakini pia ukishapata hamu ya hivo ni haitulii hadi ufanye.....amua we mwenyewe
Bora kujipooza nje ili hata akihamia kwa michepuko hungaiki naye unabaki tu kulea bila stressWanaume wanajifanya wao ndo wajuzi wa mambo yani inakera basi tu