Nataka kuchepuka, njooni mnishauri

Pole kwenye kutayarisha kitalu utapata kila appreciation na care ila baada ya kuona manyoya itabaki historia ko uta transact wengi.Pambana na hali yako
 
Uyo jamaa wa mtaani hata hakupendi. Kama kweli anakupenda mshauri amwache mke wake . Amfuke ndio umpe game. Asipofanya hivo atakukula then aanze kukutangaza pale hakuna mke ili wanaume wengi wajitose. Ndoa ni kuvumiliana upendo haupo milele.
Kuchepuka does not mean humpendi uliyenae sema wanawake kwao kuchepuka ni kupenda wakati sie wanaume ni kupunguza genye tu na kucharge mashine
 
Kibiblia mwenye dhamana ya ndoa ni mwanamke maana ndio huwa anaitafuta kwa udi na uvumba ilhali mwanaume ni mateka thus why mwanaume ni mhanga mkubwa wa matokeo hasi ya kimahusiano but sio kwangu maana nimelijua hili mapema
 
Katiwe tu,alafu mmeo akufurushe kwake,urudi kwako
 

Angalia hao watoto wanavyompenda Baba yao, angalia gharama ya dhambi, tafuta vivid example za watu waliofumaniwa, WOTE WANAJUTAGA. ukiona una nguvu ya ku CHEAT, go enjoy yourself,...
 
Nenda kwa huyo mume wa mtu nawe uwe mchepko Kama mchepuko wa mumeo
 
Kuchepuka anaenda kutafta mwanaume mkojozaji mzuri kucheza kiwanja kimoja kunachosha mno loh
Bila shaka wewe umeachika kwasababu ya umalaya... I realize it from your comments... Ni type ya hovyo ya mwanamke kuwahi kutokea...inaonyesha huna mume ila ni changudoa unaejiuza kimboka, sudan au kinondoni.. Huna maana mwanamke kucomment upumbavu kama huo. Yaani wewe ndo unawakilisha wanawake dah so stupid...
 
Sister angu ktk ubora wake
 
Nimependa hiyo lifetime insult. Ni kweli kabisa...Mke wangu alikuwa nachepuka nilijua nilikaa kmya nikatafuta ushahidi nakaa kimya...kinachoendelea anajidhalilisha hata kma na mimi ananidhalilisha lakini anajidhalilisha zaidi...
Bado upo nae??? Dah wewe ndo mabwege tunaosemaga siku zote. Huwa natamanill sana zinikute,, kizuri ni kuwa nishamwambia wife... Akitaka kutombwa nje ahakikishe tumeachana ndipo akatombwe vinginevyo hiiiiiiiiiiiiiii...... Kwahiyo nipo safi
 
We jifanye taaila tu utajua mwenyew zambi ya udhinifu unataka utushirikishe na sisi???? Kwenye hilo janga hatushauriani kila MTU anaingia kivyake
una akili njema hakika
 
mnajazana ujinga hamna lolote
Siku akiuawa juu ya hilo ndipo utapojua kuwa haikuwa kujazana ujinga. Uzuri mifano ipo wazi... Yaani ukatombwe nje halafu nikuchekelee... Nimelogwa... Kwa mikono yangu nakuua
 
nimekuelewa sana
 

Reply bora ya mwaka hii
 
Non-wife material,maskini unakuta kuna kajamaa kamekupa moyo wake kwa dhati ,nasema katapta tabu sana
 
Ukiamua kutafunwa juu yako, ila masharti ya mke kutafunwa ni mtu asiwe mtaa mmoja na mnapokaa na asiwe kazini lastly amzidi mumeo hela na maarifa
 
Natomba lakini siwezi mshauri mtu akatombe... Wewe mwache ajishauri mwenyewe yatakayomkuta yawe juu yake... Akiuawa utakuja hapa kusema siyo huyu alituomba ushauri hapa jf... Acheni undezi msiojielewa... By the way msijionyeshe kuwa nyie ni wanawake ambao mmekubuhu. Ni bora mkamshauri positive way halafu yeye mwenyewe aende akatombwe kwa maamuzi yake mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…