Jamaa atakuwa kafyonza mbaya ni basi tu
Namaanisha kakasirika mbaya maana kama alikuwa kaishachukua na chumbaSijawahi kuchepuka.
Ndio hivoNitapigwa ban bureee. Ila watu wanafki sana humu.
Hahaha ungemuuliza kwa utani uone ambavyo angejikanyagaAliyekuwa mke wangu alisema anaenda kwenye kikao cha C.W.T akadinywa anliporudi hawezi hatkuniangalia usoni anaangalia chini au pembeni nikajifanya sijajua...
Ulijuaje?? Vipi haukumdhuru kweliAliyekuwa mke wangu alisema anaenda kwenye kikao cha C.W.T akadinywa anliporudi hawezi hatkuniangalia usoni anaangalia chini au pembeni nikajifanya sijajua...
Haikuwa mara ya kwanza...na nilishawahi mwambia najua anachofanya...aliendelea...nikakaa kmya...Hahaha ungemuuliza kwa utani uone ambavyo angejikanyaga
Ukimjua mtu wako wa karibu vizuri anaweza kuwa na mabadiliko...ambayo yeye hajui kama anabadilika na kiona hivyo usimwambie tafuta sababu ya mabadiliko utajua A-Z. Wanaodhuru ni wale ambao huwa wanaotumia mwili ila wanaotumia akili huwadhuru lakini pia miziki yao mibaya zaid ya wanaodhuru mwili...nakisia tu lakini...Ulijuaje?? Vipi haukumdhuru kweli
Enhee!!! Ukamnasaje?Ukimjua mtu wako wa karibu vizuri anaweza kuwa na mabadiliko...ambayo yeye hajui kama anabadilika na kiona hivyo usimwambie tafuta sababu ya mabadiliko utajua A-Z. Wanaodhuru ni wale ambao huwa wanaotumia mwili ila wanaotumia akili huwadhuru lakini pia miziki yao mibaya zaid ya wanaodhuru mwili...nakisia tu lakini...
Hakuna cha ajabu!
Kwanza mimi wake za watu wananipendaga...
Na mimi nawapendaga kwa sababu hawanaga usumbufu kivile.
Wakijaga nawatafunaga tu maana hakunaga namna.[/QUOTE
Exactly!
Hata nikikueleza hutaelewa mapaka sasa yeye mweneyewe hailewi alinaswaje...mimi mweneyewe sielewi nilinasaje... dah!Enhee!!! Ukamnasaje?
Yaani atajuta maisha .kwanza hicho kibamia cha Jirani hakitamfikia popote.
Utadhani hawachepuki hao wanaume utadhani wanachepuka na wanaume wenzao.....mtumishi niombee ha ha ha
Nshaombewa mapepo yote yametoka nduki sahivi ni mtu safi naimba na kwaya kwakweli namshukuru Heaven Sent kwa maombikwa hyo unafanya uovu kisa mwingine nae anafanya. Watu hodari hujifunza mema kwa watu wengine lakini atu dhaifu hujifunza ubaya.
Uombewe kwa kweli