Newzealand360
Member
- Aug 10, 2022
- 88
- 122
Mama K badilisha ladha wewe nenda tu ukanyonywe mashimo yote mawiliHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
Ahahahahahaaa ukikimbia nchi kisa mvua inanyesha, IT RAINS EVERYWHERE..!! Sasa siku ujenge nyumba yako halafu umuelewe mbaba wa mtu, sijui utahama nyumba ukapange..!!Mnaotaka mrejesho, kiukweli Kwa kipindi kile sikuchepuka, nilielewa ushauri wa humu....na nilihama lile eneo...Ila nitaandika thread...!
Hii dhambi ya kusema uwongo shemela nayo ukatubu na ufanye maombi kwa kufunga tatu kavuNshaombewa mapepo yote yametoka nduki sahivi ni mtu safi naimba na kwaya kwakweli namshukuru Heaven Sent kwa maombi
Tabia ya kusingizia wengine hujaanza wewe..!! EVA pale eden alimsingizia nyoka kwa kumsababishia kula tunda. Naye Adam alimsingizia Eva kwa kumsababishia kula tunda..!! Hao wote mwisho wa siku wamepata dhambi kwa kula tunda lililokatazwa.Ila wanaume huwa mnatufundisha tabia mbaya sana. Uchepukaji kwa mwanamke alieolewa asilimia kubwa husababishwa na mwanaume. Kama suluhisho la mwisho kwako ni kuchepuka dada we kachepuke tu upate amani ya moyo 😉😛😉
Duh!..Don't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
Ungenyambulisha kidogo ili tupate kujifunzaDon't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
Kuna ama baba aliyetendewa hivyo post yako inamuuma Sana....au Mama ambaye yamemkuta nafasi imetenda anashangaa lengo lako....Ilikuwaje shost angu, nambie labda nafsi itajifunza.
Ila Wee jamaa bhanaTupe mrejesho, umeshaliwa kimasihara tukasome stori kwenye uzi pendwa?
Naisubiri kisha ntakushaur[emoji4]Mnaotaka mrejesho, kiukweli Kwa kipindi kile sikuchepuka, nilielewa ushauri wa humu....na nilihama lile eneo...Ila nitaandika thread...!
Hahaha ukisikia yalaaaaaHabari za mchana.
Mrejee kichwa cha habari tajwa, kuna mkaka hapa mtaani nimemuelewa, na yeye amenielewa ila yeye ni mume wa mtu na mimi ni mke wa mtu.
Jamani nipo kwenye ndoa huu mwaka wa 8 sijawahi kuchepuka, ila naona sasa shetani anaelekea kunizidi nguvu. Hebu nishaurini wale mlowahi kuchepuka....nipeni uzoefu.
Wababa wachepukaji karibuni pia kwa ushauri
HahahaWale wakuu wanaosisitiza wanaume wasioe wachakate tu, wanaweza kuwa na kaukwel fulan, adui wa mwanamke ni mwanamke.
DuuhDon't my dear
Mie nilifumaniwa kwa ujinga kama huo
Mito mi sitaki kuwa mnafiki hata robo, hali aliyofikia binafsi naielewa I guess akimuona jamaa pichu inaloa nakuambia hivi hata upige na maombi huyu ataliwa tu.
otherwise nijifanye tu okay mamy k don't do that ni dhambi ha ha ha ha ha nacheka kama mazuri
Hivi Hornet ulifumwa ndo maana siku hizi umebadilika umegeuka kungwi ha ha ha