Nataka kuchukua mkopo wa milioni moja na laki 2

Nataka kuchukua mkopo wa milioni moja na laki 2

Joined
Mar 12, 2015
Posts
25
Reaction score
2
Habari wafanyabiashara wenzangu, nataka kuchukua mkopo wa shilingi milioni moja na laki za kitanzania, idea yangu ya kwanza ni kufungua banda la chips na kingine niwe na stationery flan ivi itakayokuwa na desktop, printer, fan, kiti cha kuzunguka na subwoofer ya kichina. Mnanishaurije hapo??? inaweza ikanilipa na kurudisha marejesho yote.

Marejesho kwa mwezi ni laki 2 na 20... Karibu wote kuchangia.
 
Unalipa kwa miezi mingapi?
Na hiyo hiyo unategemea kama mtaji wa kuanzia kabisa??

Pagumu kwa mtazamo wangu ila wanasema usisikilize mawazo ya wanaokatisha tamaa.
 
we anza tu lkn uwe unajua cha kufanya kama marejesho yakigoma..utafute njia mbadala mapema kama kujitetea au kuescape, ujue mapema....maana hizo biashara ziko vzur..ila kulingana na sehemu zaweza kugoma
 
Mi nikushauri tu ukianza uwe makini na moyo mkuu wa kufanya mwisho utarudisha mkopo na kuendelea na biashara yako
 
T
Habari wafanyabiashara wenzangu, nataka kuchukua mkopo wa shilingi milioni moja na laki za kitanzania, idea yangu ya kwanza ni kufungua banda la chips na kingine niwe na stationery flan ivi itakayokuwa na desktop, printer, fan, kiti cha kuzunguka na subwoofer ya kichina. Mnanishaurije hapo??? inaweza ikanilipa na kurudisha marejesho yote.

Marejesho kwa mwezi ni laki 2 na 20... Karibu wote kuchangia.
Tembelea Access Bank utajibiwa...
 
Unalipa kwa miezi mingapi?
Na hiyo hiyo unategemea kama mtaji wa kuanzia kabisa??

Pagumu kwa mtazamo wangu ila wanasema usisikilize mawazo ya wanaokatisha tamaa.
Ndio ni mtaji wangu wa kwanza na mara yangu ya kwanza kufanya biashara, Marejesho ni miezi sita
 
Habari wafanyabiashara wenzangu, nataka kuchukua mkopo wa shilingi milioni moja na laki za kitanzania, idea yangu ya kwanza ni kufungua banda la chips na kingine niwe na stationery flan ivi itakayokuwa na desktop, printer, fan, kiti cha kuzunguka na subwoofer ya kichina. Mnanishaurije hapo??? inaweza ikanilipa na kurudisha marejesho yote.

Marejesho kwa mwezi ni laki 2 na 20... Karibu wote kuchangia.
  • Chukua huo mkupo
  • Fanyia kazi idea ya kwanza
Sababu
  • Utahitaji msingi usiozidi TSH 500'000, kiasi kinachobakia kitunze benki
  • Hapo ni ghalama zote ikiwa ni Banda, Vifaa vya kukaangia, Mafuta pamoja na Viazi gunia Moja
  • Ukipata eneo lililojirani na baa kubwa au ukumbi wa burudani, utafurahia biasghara na utajilaumu kwa nini haukuanza mapema, Sababu kila siku lazima uweke faida ya kutosha, Hii biashara ya Chips huwa haina hasara, Bali faida huongezeka na kupungua. Mfano siku za weekend faida ni kubwa na katikati ya wiki faida ni kidogo
Wazo la Pili
  • Hiyo fedha ni kidogo
  • Haitoshelezi hivyo vitu vyote ulivyotaja viz "desktop, printer, fan, kiti cha kuzunguka na subwoofer ya kichina"
 
Huwa hakuna mtaji mdogo ni akili tu ndo iwe kubwa au ndogo...... Sabato njema watu wa Mungu
 
Kodi ya pango utatoa hapo hapo kwenye mkopo? Kama jibu ni ndiyo mkopo hautalipika.
 
  • Chukua huo mkupo
  • Fanyia kazi idea ya kwanza
Sababu
  • Utahitaji msingi usiozidi TSH 500'000, kiasi kinachobakia kitunze benki
  • Hapo ni ghalama zote ikiwa ni Banda, Vifaa vya kukaangia, Mafuta pamoja na Viazi gunia Moja
  • Ukipata eneo lililojirani na baa kubwa au ukumbi wa burudani, utafurahia biasghara na utajilaumu kwa nini haukuanza mapema, Sababu kila siku lazima uweke faida ya kutosha, Hii biashara ya Chips huwa haina hasara, Bali faida huongezeka na kupungua. Mfano siku za weekend faida ni kubwa na katikati ya wiki faida ni kidogo
Wazo la Pili
  • Hiyo fedha ni kidogo
  • Haitoshelezi hivyo vitu vyote ulivyotaja viz "desktop, printer, fan, kiti cha kuzunguka na subwoofer ya kichina"

Asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom