Nataka kufahamu bei za magari kwa Zanzibar

Nataka kufahamu bei za magari kwa Zanzibar

Mugabe wa Bongo

Senior Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
145
Reaction score
72
Nataka kufaham bei za magari kwa Zanzibar zimekaajee...
Kwa mfano Gari kama Harrier New Model bei inacheza kwenye sh ngap..na PRADO..??
Msaada kwenye tuta??
 
Wakuu hivi ukinunua gari kutoka Zanzibar ukifika Dar ushuru inakuwaje?au ndio wanapiga kama imetokea dubai?wanaofahamu hii kitu hebu watujuze.
 
Wakuu hivi ukinunua gari kutoka Zanzibar ukifika Dar ushuru inakuwaje?au ndio wanapiga kama imetokea dubai?wanaofahamu hii kitu hebu watujuze.
Mie sio mtaalam sana wa mambo ya Kodi hizi.Ila nauzofu tu katika kusafirisha gari zangu nikinunua.
Mara nyingi hii inategemea na ushuru uliolipia.
Kuna ushuru tofauti kati ya Freezone ya Zanzibar na Dar.
Sasa ukiipeleka gari Dar utalipia ile Difference TRA.
Mfano Suzuki Carry hapa kwetu hadi iingie njiani kw amie hununua kwa bei isiozidi 5.4m kwenye Yard.
Lakini nilipoisafirisha Dar ilifikia hadi 7m with points.
Kuna siku jamaa alikuja kununuaCoaster huku akaona kapata bei rahisi alivyofika Bandarini akakuta Kodi kubwa kichwa kilimuuma,akaisusia hapo hapo.

Ufupi inategemea ni gari gani umenunua na gharama halisi ulizonunulia na kodi uliolipa wakati inaingia Zanzibar then ukiipeleka Dar unalipia Difference,kwa ufupi kodi za Dar ni kubwa na Zanzibar zipo Chini sana.
Maana hapa Zanzibar ukiwa mnjanja wa Yard hizi unaendesha Carry kwa 5.m na point tena saffii mpya kwa hapa used kwa Duabi,lakini Dar inakubidi ukienda Yard za Dar kwa gari hiyohiyo sio chini ya 7 - 9m.

Kwa ufupi ni kwamba inategemea Aina ya Gari,ukitaja gari gani naweza kukuulizia kwa jamaa mmoja,ila mara nyingi hawa Agents nao wanatofautiana bei kwa senti kidogo.

Watalaam wa michanganua zaidi watakuja
 
Mie sio mtaalam sana wa mambo ya Kodi hizi.Ila nauzofu tu katika kusafirisha gari zangu nikinunua.
Mara nyingi hii inategemea na ushuru uliolipia.
Kuna ushuru tofauti kati ya Freezone ya Zanzibar na Dar.
Sasa ukiipeleka gari Dar utalipia ile Difference TRA.
Mfano Suzuki Carry hapa kwetu hadi iingie njiani kw amie hununua kwa bei isiozidi 5.4m kwenye Yard.
Lakini nilipoisafirisha Dar ilifikia hadi 7m with points.
Kuna siku jamaa alikuja kununuaCoaster huku akaona kapata bei rahisi alivyofika Bandarini akakuta Kodi kubwa kichwa kilimuuma,akaisusia hapo hapo.

Ufupi inategemea ni gari gani umenunua na gharama halisi ulizonunulia na kodi uliolipa wakati inaingia Zanzibar then ukiipeleka Dar unalipia Difference,kwa ufupi kodi za Dar ni kubwa na Zanzibar zipo Chini sana.
Maana hapa Zanzibar ukiwa mnjanja wa Yard hizi unaendesha Carry kwa 5.m na point tena saffii mpya kwa hapa used kwa Duabi,lakini Dar inakubidi ukienda Yard za Dar kwa gari hiyohiyo sio chini ya 7 - 9m.

Kwa ufupi ni kwamba inategemea Aina ya Gari,ukitaja gari gani naweza kukuulizia kwa jamaa mmoja,ila mara nyingi hawa Agents nao wanatofautiana bei kwa senti kidogo.

Watalaam wa michanganua zaidi watakuja

mkuu kwa mfano hiyo carry nikiinunua zanzabar kwa 5.4m na nikaisajiri hukohuko kwa nambari za ZnZ (lakini matumizi ya gari yawe bara) je ninapoileta huku bara inakuaje? Nailipia kodi tena ama? (Sijui wanasema hii ni nchi moja!!) hebu naomba nijuze.
 
Mkuu nataka kujua kote za kwenye Yard na pia hata kwa mtu..binafsi...
 
Gari kama lexus Rx 2004 new model ni 24 milioni to 26 tena mkononi na sio yard. Ukisafirisha dar ushuru wake might be 5milion to 9 , Em not sure.
Kama unataka urahisi zaidi kwanini usiagize nje? Can cost you about £5700 including shipping. Ushuru zanzibar 5milion to 6 Inategemea agency.
Unaweza save about 6milion
 
Like this one
 

Attachments

  • 1414349516633.jpg
    1414349516633.jpg
    117 KB · Views: 969
mkuu kwa mfano hiyo carry nikiinunua zanzabar kwa 5.4m na nikaisajiri hukohuko kwa nambari za ZnZ (lakini matumizi ya gari yawe bara) je ninapoileta huku bara inakuaje? Nailipia kodi tena ama? (Sijui wanasema hii ni nchi moja!!) hebu naomba nijuze.

MKUU hapo hawezekani utalipia kila kitu maana barabara sio mambo ya muungano yaani road licences ya zanji bara hakubaliki utapewa grace period ya kama miezi mitatu then utatakiwa kulipia road licences ya bara.
 
mkuu kwa mfano hiyo carry nikiinunua zanzabar kwa 5.4m na nikaisajiri hukohuko kwa nambari za ZnZ (lakini matumizi ya gari yawe bara) je ninapoileta huku bara inakuaje? Nailipia kodi tena ama? (Sijui wanasema hii ni nchi moja!!) hebu naomba nijuze.
Kama alivyokueleza mdau hapo juu,kwamba suala la number za usajili ni mamlaka tofauti za nchi tofauti.
Kwahiyo ni bora unapoinunua then unaibdailisha jina kisha unaisajili kwa number za Bara.
Kodi lazima iwe tofauti,na kama nilivyosema inaweza kufika hadi 7m na points.
 
  • Thanks
Reactions: GP
Gari kama lexus Rx 2004 new model ni 24 milioni to 26 tena mkononi na sio yard. Ukisafirisha dar ushuru wake might be 5milion to 9 , Em not sure.
Kama unataka urahisi zaidi kwanini usiagize nje? Can cost you about £5700 including shipping. Ushuru zanzibar 5milion to 6 Inategemea agency.
Unaweza save about 6milion

Mkuu nashukuru kwa Details Japo sijajua haya makampuni yanayotengeneza magari sijui hua wanawaza nini coz Lexus na Harrier hiz new model naona ni the same Car...Au Jina ndio linatofautisha bei..
 
Una specifications za gari hizo?maana nikikuulizia kwa mtu kuna maswali kama hayo yatafuata.
Maana matoleo ya gari hizo yapo mengi.
Hembu nipe specifications zake kesho nikuulizie

Kwa sasa bado sina Specifications..thou nataka nifaham bei kabisa kuna mitego flani ikikaa sawa nafikiria kuja znz...if gharama zitakua ni affordable kulinganisha na kuagiza nje ya nchi.
 
nahitaji pickup single cabin kwa mtu. Iwe tani moja ya nissan au toyota kwa mtu na iwe injectiona ya kuanzia mwaka 1997. Je kwa wajuzi wa hizi kitu mpaka inafika dsm niandae makadirio ya kama sh ngp? Nahitaji ya mkononi kwa mtu show room sina uwezo
 
Kwa ufupi
Gari yyt ile ukishushia Zanzibar ushuru unakuwa rahisi....
Mfano ukishusha fuso znz utalipa 3m na ukiileta huku utalipa tena 5m. Lkn ukishusha hapa dar moja kwa moja unapigwa 12m.
 
Back
Top Bottom