October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Wadau Kwenye Biashara
Nahitaji kujua mambo mawili.
Suala la kwanza, hizi kampuni kubwa kama Metl, Azam, Azania, Startimes nk zinaweza Spend kihasi gani cha pesa kwenye kufanya matangazo mfano wamezalisha product mpya sokoni au Huduma fulani.
Mfano wa kampuni kama KEDS inajihusisha na kizalisha Sabuni kama Kleesoft na Doffi wanapoweka bajeti ya kufanya Marketing ya DOFFI wanaweza weka bajeti ya kihasi gani kwa Siku/mwezi/mwaka ??
Suala la pili, yale mabango ya balabalani (Billboard) gharama yake ni kihasi gani kuweka Tangazo lako siku/mwezi/mwaka ??
Wanaojua haya mambo mawili wanijuze.
Nahitaji kujua mambo mawili.
Suala la kwanza, hizi kampuni kubwa kama Metl, Azam, Azania, Startimes nk zinaweza Spend kihasi gani cha pesa kwenye kufanya matangazo mfano wamezalisha product mpya sokoni au Huduma fulani.
Mfano wa kampuni kama KEDS inajihusisha na kizalisha Sabuni kama Kleesoft na Doffi wanapoweka bajeti ya kufanya Marketing ya DOFFI wanaweza weka bajeti ya kihasi gani kwa Siku/mwezi/mwaka ??
Suala la pili, yale mabango ya balabalani (Billboard) gharama yake ni kihasi gani kuweka Tangazo lako siku/mwezi/mwaka ??
Wanaojua haya mambo mawili wanijuze.