Sasa hivi Passport kubwa (Gamba)laki nne no question asked unapata gamba lako bila buguza.Jina la Yahwe lihimidiwe
You can stay in Kenya free for 90 days kama we ni Mtanzania and once Muda ukaisha hujapata Au kukamilisha unachotaka Nenda Tena NYAYO HAUSE watakugongea siku nyingine 90 hapo hapo Kenya!Muhimu ni passport tu.
Kuingia Kenya Mtz hahitaji VISA moaka siku 14
Hiyo mbona nakufanyia fasta bila ukishoka mkuu?Sasa hivi Passport kubwa (Gamba)laki nne no question asked unapata gamba lako bila buguza.
Ukiijua Tanzania raha sana hawa vishoka nawaombea Mungu maana wanakupunguzia mambo mengi wewe unafanya shughuli zako nyingine ile njoo kesho njoo kesho unaipona.
Tukiachana na ujuaji wako usio wa msingi, hapa umejibu nini?Permit au passport inatolewa na Kenya au Tz lakini wabongo bado tuko washamba hatuna exposure kabisa, utakuta huyu nayeye ni mtu mzima hapa jf anakejeli watu kila siku
Halali ni 30,000/= na pia cheti cha covid ni lazima,Kwanza, Kenya huhitaji kibali. Kama ni kibali basi ingelikuwa ni VISA au resident permit.
Unachopaswa kupata wewe ni hati ya kusafiria (passport). Kwa kuwa ni ya ghafla basi inakubidi upate hati ya muda mfupi (temporary). Mathalani huwa ni miezi mitatu.
Fika katika ofisi ya Uhamiaji katika eneo lako ukiwa na taarifa zako sahihi na picha ndogo ya passport ya hivi karibuni na Tsh 20,000 (sijui kama imebadilika ama la). Watakuhoji, kisha wakiridhika watakupatia control number kwa ajili ya kulipia.
Baada ya hapo, watakugongea muhuri na utaendelea na harakati zako. Kumbuka, utapaswa kuchanja chanjo ya homa ya manjano kabla ya kuruhusiwa kuvuka mpaka. Utaenda hospital ya karibu haswa za Wilaya na Mkoa, utachoma chanjo husika na kukukabidhi cheti.
Kila la kheri.
Nakuja PM mkuuHiyo mbona nakufanyia fasta bila ukishoka mkuu?
Docs zako zitimie, ulipie ile 150k yao.
Mengine ni kahawa ya mkuu jikoni siku moja au ya pili umekunja gamba lako mkuu
Kenya unapanda basi tu pale mpakan utapewa utaratibu wote sio kaz mkuuNdugu zangu Nipo Dar es Salaam,
Nataka kufahamu utaratibu wa upatikanaji wa Kibali cha Muda cha kuingia Kenya najua njia za shortcut zipo ila mimI sitaki izo nataka kufahamu utaratibu wakupata official temporally Permit ya kuingia Kenya.
Ofisi ziko wapi na kuna malipo au la, na nahitqjika kuwa na vitu gani ili nipate hiyo Permit
Tembele hii link hapa chini, kisha utajaza form, ambayo mwishoni utaambatanisha Cheti chako cha kuzaliza, cha baba na mama, au affidavit, katika one PDF, pia kuna mahala uta upload passport size yako uaizidi 5MB, then ukimaliza utapata link ya kudownload hiyo Form, kisha nenda nayo uhamiaji, ukiwa na vyeti katika copy, hapo unaaubiri tu Passport yako..Ndugu zangu Nipo Dar es Salaam,
Nataka kufahamu utaratibu wa upatikanaji wa Kibali cha Muda cha kuingia Kenya najua njia za shortcut zipo ila mimI sitaki hizo nataka kufahamu utaratibu wakupata official temporally Permit ya kuingia Kenya.
Ofisi ziko wapi na kuna malipo au la, na nahitqjika kuwa na vitu gani ili nipate hiyo Permit
Ni rahisi tu nenda Uhamiaji. Utahitaji number ya NIDA, pia kujaza form ya afidavit. Uwe na picha za passport. Unachopewa pale ni entry permit inaweza kuwa ya miezi 3 au wakati mwingine 6. Hii ni visa ya muda mfupi tu au pia wanaita pass. Ungekuwa na passport basi unaweza kwenda Kenya na nchi nyingine za Jumuiya ya Africa Mashariki na kukaa huko kwa miezi 3 bila visa.Siwezi kueleweka kwasababu haya mambo ni mageni kwangu kwahiyo nifafanulie wewe nifahamu kama in passport nijue au km ni Permit nijue.. mimi nilisikia Kuna kibari cha mda mfupi sasa cjui ndio passport au mini ndiomana nimekuja hapa kuupata muongozo nasio kejeli wala malumbano
Ila hii nchi[emoji23][emoji23][emoji23]Ukienda huko wakumbushe kua Mlima Kilimanjaro upo TZ na sio Kenya.
[emoji41]