ALL IN ONE
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 262
- 176
Kama kichwa kinavyosema, Napenda kufanya biashara katika mikoa tajwa hapo juu!
Je, ninaweza kupata fremu ya biashara ambayo kidogo itakuwa ipo jiran na movement ya watu target population. Lengo ni kufungua biashara itayohusisha kuuza vifaa vya simu & computer pamoja na computer maintanance and repair. Mtaji ni million tatu!
Ushauri wako ili nisije kujutia biashara hii nifanye kama Mbeya, Iringa, Songea Njombe, Dodoma Au Dar!
NB: Hii kitu ni serious, kwahiyo naomba msaada wenu, majungu kando!
Je, ninaweza kupata fremu ya biashara ambayo kidogo itakuwa ipo jiran na movement ya watu target population. Lengo ni kufungua biashara itayohusisha kuuza vifaa vya simu & computer pamoja na computer maintanance and repair. Mtaji ni million tatu!
Ushauri wako ili nisije kujutia biashara hii nifanye kama Mbeya, Iringa, Songea Njombe, Dodoma Au Dar!
NB: Hii kitu ni serious, kwahiyo naomba msaada wenu, majungu kando!