Nataka kufanya biashara ya rasta kutoka Kiwandani

miss naire

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
237
Reaction score
228
habari wa ndugu, naomba kufahamu anaye elewa utaratibu wa kuchukua mzigo wa rasta kwa bei ya jumla kutoka kiwandani anieleweshe na bei inakuwaje nataka kuanza biashara hii kuchukua mzigo mkubwa nije kuuza
 
Ukipata jibu sahihi,naomba unitag!
 
Ukipata jibu sahihi,naomba unitag!
Nenda pale darling ranging tatu inategemea Na rasta unayotaka bei tofauti kama unataka katoni myingi kama katoni moja au mbili nenda kkoo nyuma ya msikiti wa mtoro kunawakala pale kama ni kiwandani unapata Na usafiri
 
habari wa ndugu, naomba kufahamu anaye elewa utaratibu wa kuchukua mzigo wa rasta kwa bei ya jumla kutoka kiwandani anieleweshe na bei inakuwaje nataka kuanza biashara hii kuchukua mzigo mkubwa nije kuuza


vipi ulifanikiwa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…