miss naire
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 237
- 228
habari wa ndugu, naomba kufahamu anaye elewa utaratibu wa kuchukua mzigo wa rasta kwa bei ya jumla kutoka kiwandani anieleweshe na bei inakuwaje nataka kuanza biashara hii kuchukua mzigo mkubwa nije kuuza