Nataka kufanya biashara ya tigo pesa, anayeuza line yake naomba tuwasiliane

Nataka kufanya biashara ya tigo pesa, anayeuza line yake naomba tuwasiliane

MORIAH

Senior Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
103
Reaction score
51
Wakuu nataka kufanya biashara ya tigo pesa. Hata hivyo, tigo wenyewe kwa sasa hawatoi line hizo hadi mwishoni mwa mwezi febroary. Kama kuna mtu anauza kwa sababu yo yote ikiwepo kusitisha biashara au kubadili biashara hiyo naomba anitupigie au anipm ili tuweze kuwasiliana. Namba zangu ni 0655 583 330
 
Nusra nishtuke kwani nisingesoma maelezo ya ndani basi nengesema dunia kwisha!!!!
 
Ipo inbox me nikupe bei

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom