CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
tausi anapatikana algeria mkuu!tausi kumpata kwa bongo ni ngumu kwa sababu hawapatikani kokote sio asili yao hapa. Tausi unaowaona mitaa ya magogoni mpaka makumbusho ya taifa tulipewa kama presidential gift nadhani from india. Hivyo ukikutwa na tausi kibongo bongo utatuhumiwa kuiba zawadi ya rais. Teeheeeheee! Lakini kama una mshiko unaweza kuagiza wanyama toka nje ya nchi kwa kufuata taratibu husika za nchi mfano dar zoo wana baadhi ya specie za nje kama nyani wa india na water buffalos.
Mkuu kwa tausi agiza algeria.Ukitaka kasuku niambie!!Habari wadau,
Ninatafuta tausi na ndege wengine wasiopaa kwa ajili ya kufuga kama urembo. Je nitapata wapi kwa bongo?
Tausi sio nyara za Serikali kwa sababu hakuna poili hapa Tanzania ambako kuna Tausi,
Habari wadau,
Ninatafuta tausi na ndege wengine wasiopaa kwa ajili ya kufuga kama urembo. Je nitapata wapi kwa bongo?
Tausi wanapaa.......
Wapo wengi tu pale jengo jeupe!
Wengi tu wanaruka, hasa wadogo. Wapo sana maeneo ya Jengo la Umoja,garden na karibu na Ocean Hospital.Ivi pale jengo jeupe huwa hawarukagi kutoka nje hawa ndege,
Wengi tu wanaruka, hasa wadogo. Wapo sana maeneo ya Jengo la Umoja,garden na karibu na Ocean Hospital.
Umemkumbuka Mjuba na nduguze? [emoji12]"Tausi ni ndege wangu ndege wangu wa fahari ndege ..... Dah umenikumbusha mbali mkuu!
Hawa ndege wanafugwa kwenye Kasri, State House au Taj Mahal ! ......kama unavyo hivi basi rukhusaHivi mtu wa kawaida haruhusiwi kufuga?
ha ha haNyawawa