Nataka kufuga ndege tausi

Nataka kufuga ndege tausi

tausi kumpata kwa bongo ni ngumu kwa sababu hawapatikani kokote sio asili yao hapa. Tausi unaowaona mitaa ya magogoni mpaka makumbusho ya taifa tulipewa kama presidential gift nadhani from india. Hivyo ukikutwa na tausi kibongo bongo utatuhumiwa kuiba zawadi ya rais. Teeheeeheee! Lakini kama una mshiko unaweza kuagiza wanyama toka nje ya nchi kwa kufuata taratibu husika za nchi mfano dar zoo wana baadhi ya specie za nje kama nyani wa india na water buffalos.
tausi anapatikana algeria mkuu!
 
fa5c60787864b9e512ac7f904b15cb2b.jpg
 
Wengi tu wanaruka, hasa wadogo. Wapo sana maeneo ya Jengo la Umoja,garden na karibu na Ocean Hospital.

Aha ha haha, basi ntakuwa natembea na manati nikipita mitaa ile ya ferry, au ntang'olewa meno bila ganzi nikipiga ndege mmoja,,,,just kidding
 
wanafika mpaka oysterbay na masaki! wako wengi sana siku hizi! ni ndege wa neema na utajiri!
 
Back
Top Bottom