Nataka kufungua duka la jumla

Davis chelsea

Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
93
Reaction score
10
Nipo Dar maeneo ya Kimara..nataka kufungua biashara ya duka la jumla,kwa vitu vya kawaida kama unga sukar mafuta n.k.....kwa wale wenye uzoefu na biashara hii ni tahadhari gani za kuchukua? kwa anayejua anawwza kunipa breakdown ya hii kitu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…