Nataka kufungua Stationery, naomba ushauri

Teamanaconda

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2013
Posts
602
Reaction score
564
wakuu nataka kufungua stationery maeneo ya mabibo hostel,kwa wajuzi zaidi wa biashara ya aina hii je maeneo hayo yanaweza kulipa kweli?,tayari nini photocopy machine CANON IR 3300 yenye uwezo wa kuprint,computer na printer vyote ninavyo,kama nitapata ushauri zaidi nitashukuru sana
 
Mmmmmmhmn ungetazama sehemu nyingine......pale services are too cheap......kama ulisoma uchumi tutafanisha na perfect market.........yaani utarudisha faida taratibu sana......
 
Mmmmmmhmn ungetazama sehemu nyingine......pale services are too cheap......kama ulisoma uchumi tutafanisha na perfect market.........yaani utarudisha faida taratibu sana......

ahsante sana mkuu kwa ushauri wako,
 
Lakin pia waweza kuangalia maslai ya watu pamoja na shule baadhi ya ofic ziwepo itakuwa poa
 
kodi za fremu ni kubwa.. huku huduma ni bei rahisi sana... wateja ni wengi japokuwa mnagawana gawana.. japokuwa vyuo vikifungwa inakuwa hasara
 
Waweza kifungu kama umepata flem kwan sehemu hiyo ipo vizur wateja wapo wa kila aina co wanafunz pekee
 

Mmmmmmhmn ungetazama sehemu nyingine......pale services are too cheap......kama ulisoma uchumi tutafanisha na perfect market.........yaani utarudisha faida taratibu sana......

Lakin pia waweza kuangalia maslai ya watu pamoja na shule baadhi ya ofic ziwepo itakuwa poa

kodi za fremu ni kubwa.. huku huduma ni bei rahisi sana... wateja ni wengi japokuwa mnagawana gawana.. japokuwa vyuo vikifungwa inakuwa hasara

Waweza kifungu kama umepata flem kwan sehemu hiyo ipo vizur wateja wapo wa kila aina co wanafunz pekee

Biashara pale ni miezi isiyozidi nane wakati kodi unalipa mwaka
 
Kama ukiwa na nia kufanya unafanya bila matatizo bali changamoto cha biashara uwe na moyo wa kukabiliana nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…