mriringa
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 663
- 714
Awali ya yote nawasalimu katika jina la Mungu Baba wa Mbinguni na amani ya Bwana wangu iwe pamoja nanyi.
Mimi kama kijana wa miaka 35 mwenye shahada ya kwanza ya Uchumi na ni mtumishi wa Umma nimeamua kuingia kwenye siasa na nitagombea ubunge mwaka huu kwaani sababu za kugombea ninazo na uwezo wa kupambana ninao ila kwenu wazoevu naomba mawazo yenu kulingana na sababu zangu za kugombea.
1. Kuteta mapinduzi ya kiuchumi jimboni kwa kutafuta wawekezaji kwenye sekta za kilimo cha umwagiliaji ikiwa ni pamoja na kujenga viwanda vya kusindika mazao shamba .
2. Kusogeza huduma za kijamii zenye ubora hasa afya maji na elimu.
3. Kuimarisha huduma za mawasiliano hasa barabara na simu kwaani jimbo tarajiwa Kuna vijiji havina uhakika wa mawasiliano ya simu na hakuna juhudi inayofanywa na Mbunge wetu na mbaya zaidi misitu inateketea kwa kupasua mbao ila hakuna shukrani inayorudi kwa jamii inayolinda misitu hiyo miaka yote na kwa lugha rahisi Jimbo halina mtu sahihi wa kutetea maslahi ya jamii.
4. Kuuongeza udhubutu au kubadili mtazamo kwa vijana ambao wanaamini siasa ni kwa wazee na sio vijana ikiwa ni pamoja na kuogopa kurogwa.
Ninayo mengi kichwani ila nadhani hayo ndiyo ya msingi hasa kuimarisha huduma mhimu za kijamii katika Jimbo lenye Kila kitu ila huduma ni mbaya kwa sababu hakuna mtu sahihi wa kuzisemea.
Naombeni mawazo na ushauri kutoka kwenu ili nijue naingia kwa GIA gani hasa kwenye CHAMA.
Mimi kama kijana wa miaka 35 mwenye shahada ya kwanza ya Uchumi na ni mtumishi wa Umma nimeamua kuingia kwenye siasa na nitagombea ubunge mwaka huu kwaani sababu za kugombea ninazo na uwezo wa kupambana ninao ila kwenu wazoevu naomba mawazo yenu kulingana na sababu zangu za kugombea.
1. Kuteta mapinduzi ya kiuchumi jimboni kwa kutafuta wawekezaji kwenye sekta za kilimo cha umwagiliaji ikiwa ni pamoja na kujenga viwanda vya kusindika mazao shamba .
2. Kusogeza huduma za kijamii zenye ubora hasa afya maji na elimu.
3. Kuimarisha huduma za mawasiliano hasa barabara na simu kwaani jimbo tarajiwa Kuna vijiji havina uhakika wa mawasiliano ya simu na hakuna juhudi inayofanywa na Mbunge wetu na mbaya zaidi misitu inateketea kwa kupasua mbao ila hakuna shukrani inayorudi kwa jamii inayolinda misitu hiyo miaka yote na kwa lugha rahisi Jimbo halina mtu sahihi wa kutetea maslahi ya jamii.
4. Kuuongeza udhubutu au kubadili mtazamo kwa vijana ambao wanaamini siasa ni kwa wazee na sio vijana ikiwa ni pamoja na kuogopa kurogwa.
Ninayo mengi kichwani ila nadhani hayo ndiyo ya msingi hasa kuimarisha huduma mhimu za kijamii katika Jimbo lenye Kila kitu ila huduma ni mbaya kwa sababu hakuna mtu sahihi wa kuzisemea.
Naombeni mawazo na ushauri kutoka kwenu ili nijue naingia kwa GIA gani hasa kwenye CHAMA.