Exaud,
Kwa nini unataka kwenda ikulu? Nini kinakuvutia (motivation)?
Kwa nini Tanzania Bara na si Tanzania?(au ulimi/vidole vimeteleza🙂?). Kama ni Tanzania Bara nadhani katiba tuliyonayo kwa sasa haitoi hiyo nafasi.
Kama ni Tanzania kwa ujumla, basi ni wazo zuri lakini naona umechelewa kuanza. Kugombea Urais,kwa maoni yangu, unahitaji maandalizi ya si chini ya miaka mitano! 2010 ni 'kesho' tu!. Kutokana na muda, ili umshinde JK, utahitaji nzuvu za ziada. Pamoja na mabo mengine;
-Ni lazima ufahamike vizuri kwa watanzania (hili linahitaji muda na rasilimali)
-Ni lazima uifahamu vizuri Tanzania na watanzania (SWOT analysis inaweza kukusaidia!).
Umesha-recruit campaign manager?