Nataka kuhama Hawa nguruwe niwafanyaje? Wateja wanasua sua

Nataka kuhama Hawa nguruwe niwafanyaje? Wateja wanasua sua

Wa miezi saba hafai kuchinja? Bosi ulikuwa unawatesa hao wanyama huwapi lishe ya kutosha aisee...huyo mdudu anauzika kirahisi mnooo akiwa na afya
Kweli kabisa mkuu mimi wakwangu alikuwa ni f3 ya camb....ila nimekaa nae miezi saba na nusu mwezi wa nne nilimuuza laki 5 na 20
 
Baada ya kesho kua natakiwa kusafiri ningependa mchango wako wa mawazo katika hili!

Majuzi nimeongea na wateja wanne jana wamekuja wawili mmoja alipowaona akaahidi atafika Leo asubui kuwachukua, hadi sasahivi hajafika.

Mwingine alienda jana jioni akasema wadogo kibiashara Hawezi Chinja.. Wapo wa 3 na wana miezi 7 lakini rate yao ya ukuaji sio nzuri.

Tafadhali naomba ushauri katika hili

NB: Huku sio mzawa na sina mtu wa kumwachia kuwa atawatumikia kwa uaminifu, asanteni.
Uko wapi kwanza? Toa location ya mahali ulipo ndio mengine yafuate.
 
Back
Top Bottom