Nataka kuhamia kikazi Shule ya Mazoezi ya Chang'ombe - nifanye nini?

Nataka kuhamia kikazi Shule ya Mazoezi ya Chang'ombe - nifanye nini?

KASULI

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
599
Reaction score
677
Kwanza naomba ni declare interest kuwa mimi ni Mwalimu mwenye degree, mwenye kupenda maendeleo na Kipat0 kinachoendana na kazi yangu. Na sina connection

Kituo changu cha kazi ni Halmashauri iliyopo kusini mwa Tanzania. Shule yangu iko mjini chini ya wizara ya TAMISEMI

Nimekuwa interested kufanya kazi pale changamoto kubwa kwangu ni kwa namna gani naweza kuwa mfanyakazi wa ile Shule. Niko tayri kujihamisha kutoka nilipo mpaka mkoa wa Dar Es Salaam.

JamiiForum ni kama bahari natumaini kuna mtu umu anafnya kazi pale lakini pia kuna ambao wanaweza kuwa na ufaham nawezaje kufanikisha hili au wana connection na mhusika wa Pale.

Kwa chochote mfano mawasiliano DM iko wazi

Asnten

Mwalimu
 
Kwani Kuna utofauti gani huko uliko na hapo Mazoezi unapotamka kwenda?
 
HV Kuna tofauti gn Kati ya shule ya mazoezi na shule nyingine?!

Na anaefanya mazoezi Ni nani?! Mwalimu au mwanafunzi?!
 
Usipoteze muda maana hata kupata nafasi ya kuhamia dar ktk Shule yoyote sio rahisi kihivyo...
Alafu fungua akili maisha sio kutegemea ajira pekee wekeza ktk mambo mengine, hata hapo pia wana mishahara ya kawaida tu kama yako...
Alafu sio lazima uende Dar kuna mikoa mingi mizuri yenye fursa, nimezaliwa Dar nimekulia dar nilivyo pata kazi mikoani nilikua nataman kuhamia dar ila nilipo badiri mtazamo wangu hio Dar sitak hata kuisikia...
 
Usipoteze muda maana hata kupata nafasi ya kuhamia dar ktk Shule yoyote sio rahisi kihivyo...
Alafu fungua akili maisha sio kutegemea ajira pekee wekeza ktk mambo mengine, hata hapo pia wana mishahara ya kawaida tu kama yako...
Alafu sio lazima uende Dar kuna mikoa mingi mizuri yenye fursa, nimezaliwa Dar nimekulia dar nilivyo pata kazi mikoani nilikua nataman kuhamia dar ila nilipo badiri mtazamo wangu hio Dar sitak hata kuisikia...
Boss una uhakika na hiki unachokiongeaa....??? Kwamba wana mishahara sawa na walimu wengine??? Kabisaa
 
Boss una uhakika na hiki unachokiongeaa....??? Kwamba wana mishahara sawa na walimu wengine??? Kabisaa
Shule zote za mazoezi, ziwe sekondari au msingi zilishatolewa WIZARA YA ELIMU zikarudishwa TAMISEMI. walimu wote wa serikali nchi hi mishahara yao ni sawa uwe ni mkufunzi chuo cha elimu, sekondari au msingi. Wote wanatumia TGTS usidanganyike mkuu kama unataka kuhamia kwenye hiyo shule kwanza hamia kwenye halimadhauri husika then ndo umuombe DEO akupeleke kwenye hiyo shule
 
Mkuu hii inawezekana japo sio rahisi kilivyo. Kuna kipindi huwa wanatoa nafasi za kuhamia, ikitokea hivyo uchangamkie haraka. Vinginevyo usubirie watangaze ajira, muajiri hapo ni baraza la chuo. Ungekuwa uko chini ya wizara ya UTUMISHI ingekuwa rahisi kuomba kuhamia, ila huko tamisemi ni ngumu kidogo.
Kwanza naomba ni declare interest kuwa mimi ni Mwalimu mwenye degree, mwenye kupenda maendeleo na Kipat0 kinachoendana na kazi yangu. Na sina connection

Kituo changu cha kazi ni Halmashauri iliyopo kusini mwa Tanzania. Shule yangu iko mjini chini ya wizara ya TAMISEMI

Nimekuwa interested kufanya kazi pale changamoto kubwa kwangu ni kwa namna gani naweza kuwa mfanyakazi wa ile Shule. Niko tayri kujihamisha kutoka nilipo mpaka mkoa wa Dar Es Salaam.

JamiiForum ni kama bahari natumaini kuna mtu umu anafnya kazi pale lakini pia kuna ambao wanaweza kuwa na ufaham nawezaje kufanikisha hili au wana connection na mhusika wa Pale.

Kwa chochote mfano mawasiliano DM iko wazi

Asnten

Mwalimu
 
Mkuu hii inawezekana japo sio rahisi kilivyo. Kuna kipindi huwa wanatoa nafasi za kuhamia, ikitokea hivyo uchangamkie haraka. Vinginevyo usubirie watangaze ajira, muajiri hapo ni baraza la chuo. Ungekuwa uko chini ya wizara ya UTUMISHI ingekuwa rahisi kuomba kuhamia, ila huko tamisemi ni ngumu kidogo.
Mkuu hapo sasa ndo changamoto, wanaofanya kazi hapo wako chini ya utumishi kumbe?? Awako TAMISEMI?
 
Naam, initially haya yalikuwa mashirika huru yanayojiendesha kwa sheria yake yenyewe chini ya mabaraza ya uendeshaji. Wakati wa Magu mwanzoni walirekebisha sheria ya utumishi wa umma na kuwajumuisha pia watumishi wote waliokuwa chini ya mashiriki. Still kuna semi autonomy fulani kwenye haya mashirika.
Mkuu hapo sasa ndo changamoto, wanaofanya kazi hapo wako chini ya utumishi kumbe?? Awako TAMISEMI?
 
Bila connection sijui kama kuhamia dar ni rahisi, ila tu tahadhari sana tahadhari dar wajanja wengi utapigwa mchana kweupe na barua yenye muhuri wa tamisemi utapewa.
Sitasahau laki tano yangu na barua feki nikakabidhiwa....kmmak
Kwahiyo siku hizi upo wapi?
 
Chang'ombe pale majungu mengi sana
Mtahadharishe mkuu,kuna demu wangu rafiki yake alikuwa anafundisha hapo analalamika wamefukuzwa walimu wote wamepelekwa huko wilayani.

So kama hana koneksheni atateseka tu atulie huko kusini alime zake korosho.
 
Back
Top Bottom